>

SIMBA KWENYE KIBARUA KINGINE UHURU

MACHI 2 2023 kikosi cha Simba kina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya African Sports. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru kwa kuwa Uwanja wa Mkapa unafanyiwa maboresha na utatumika kwa mechi za kimataifa. Simba inaingia kwenye mchezo huo ikiwa inakumbuka kwamba ilitinga hatua hiyo kwa ushindi wa…

Read More

YANGA HAWA HAPA NDANI YA DAR, AHADI KAMA ZOTE

MSAFARA wa Yanga umewasili leo Dar ukitokea Mali ulipokuwa na mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Real Bamako ambao ni wa hatua ya makundi. Katika mchezo huo Yanga iligawana pointi mojamoja kwa ubao kusoma Real Bamako 1-1 Yanga baada ya dakika 90. Ni Fiston Mayele alipachika bao kwa upande wa Yanga kwenye mchezo huo…

Read More

MTIBWA SUGAR WANYOOSHWA UWANJA WA LITI

IKIWA Uwanja wa Liti, Singida kwa wakulima Alizeti Mtibwa Sugar iliacha pointi zote tatu mazima. Kwenye mchezo huo uliochezwa Februari 27,2023 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Liti ulisoma Singida Big Stars 2-0 Mtibwa Sugar Ni Rodrigo alianza kuwatungua Mtibwa Sugar wenye Duchu ilikuwa dakika ya 12 kisha mwamba kabisa Meddie Kagere huyu…

Read More

KMC WANAPITA KWENYE MATESO DAKIKA 630

CHINI ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery kikosi cha KMC kimepita kwenye dakika 630 za mateso kwa kukwama kusepana pointi tatu zaidi ya katika mechi 7 mfululizo. Mechi moja pekee KMC iliambulia pointi moja kwenye sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar huku mechi tano wakiambulia kichapo mazima. Kwenye msako wa pointi 21 ni…

Read More

BOSI MPYA SIMBA HUYU HAPA

KWA mara nyingine tena Salim Abdallah Muhene wengi wanapenda kumuita Try Again atasalia kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba. Februari 27, Rais wa heshima wa Simba Mohammed Dewji amemteua tena Salim Try Again kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba. Mo amesema ana imani na Mwenyekiti Muhene kuwa ataiongoza Simba kufikia…

Read More

YANGA KUTUA DAR

MSAFARA wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo Februari 28 unatarajiwa kuwasili Dar. Wawakilishi hao wa kimataifa kwenye anga la Kombe la Shirikisho walikuwa na mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya Real Bamao uliochezwa Mali. Kwenye mchezo huo ubao ulisoma Real Bamako 1-1 Yanga na kuwafanya wagawane pointi mojamoja kwenye…

Read More

MECHI ZA NYUMBANI ANGA ZA KIMATAIFA HESABU MUHIMU

MECHI za nyumbani kwenye anga za kimataifa zina umuhimu mkubwa kwa wawakilishi kimataifa kupata ushindi kuzidi kujiongezea hali ya kupata nafasi kutoka kwenye hatua ambayo wapo. Hatua ya makundi ni kituo kinachowasafirisha wawakilishi mpaka hatua ya robo fainali ambayo inaongeza thamani kwa wachezaji pamoja na timu kuzidi kuwa bora. Ushindi kwenye mechi za nyumbani ni…

Read More

TZS 350,000,000 KUTOLEWA NA MERIDIANBET NA WAZDAN UNASUBIRI NINI KUCHEZA?

Haijawahi kuwa ya kuvutia kiasi hiki, zawadi za jumla ya TZS 350,000,000 kushindaniwa kwenye michezo ya sloti inayotolewa na Wazdan katika chimbo lako pendwa la kasino Meridianbet Tanzania, unashiriki ukiwa na nafasi ya kujishindia mgao wako katika zawadi nono zinazotolewa, Kupaswi kukosa hii ni kubwa sana inaweza kubadili kila kitu leo. Zawadi nono ya TZS…

Read More

MANCHESTER UNITED YATWAA CARABAO

KOMBE la Carabao mikononi mwa Manchester United baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Newcastle United Casemiro alianza kufunga dakika ya 33 na nyota Steven Batman alijifunga dakika ya 39. Mastaa wa Manchester united wamejawa na furaha tele kwa kutwaa taji hilo ambalo ni kubwa kwao. Nahodha Harry Maguire amekabidhwa taji hilo kwenye mchezo…

Read More

YANGA YAGAWANA POINTI KIMATAIFA

IKIWA Uwanja wa du 26 Mars nchini Mali imeshudia ubao ukisoma Real Bamako 1-1 Yanga. Mchezo wa leo ambao ni wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Yanga ilianza kupata bao la kuongoza dakika ya 60 kupitia kwa nyota wao Fiston Mayele. Mayele alipachika bao hilo akiwa nje kidogo ya 18 na kuwanyanyua mashabiki wa…

Read More

REAL BAMAKO 0-0 YANGA KIMATAIFA

UBAO wa Stade du 26 Mars, Mali kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika unasoma Real Bamako 0-0 Yanga. Ni mchezo wa hatua ya makundi ambapo timu zote mbili zipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wawakilishi kutoka Tanzania kwenye anga la kimataifa wameanza na washambuliaji wawili ambao ni Fiston Mayele na Kennedy Musonda. Kiungo…

Read More

CHELSEA IMEBUTULIWA HUKO

TOTTENHAM imesepa na pointi tatu muhimu katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Chelsea. Mabao ya Oliver Skipp dakika ya 46 na Harry Kane dakika ya 82 yameipa ushindi Spurs. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Tottenham Hotspur umesoma Tottenham 2-0 Chelsea. Chelsea inabaki na pointi 31 ikiwa nafasi ya 10 huku…

Read More