>

NATHAN AKE APELEKA KILIO KWA WASHIKA BUNDUKI

BAO pekee ambalo lilipeleka kilio kwa washika bunduki Arsenal kwenye mchezo wa raundi ya 4 FA Cup lilipachikwa kimiani na nyita Nathan Ake. Kwenye mchezo huo uliokuwa unaushindani mkubwa mashabiki wa Arsenal walishuhudia dakika 45 ngoma ikiwa ni nzito kwa timu zote mbili wakiamini watafanya jambo. Ubao ulipabdilika usomaji dakika ya 64 ambapo ulisoma Manchester…

Read More

WAARABU WATUMA MASHUSHUSHU YANGA

KOCHA Mkuu wa Klabu ya US Monastir ya Tunisia, Darkov Novic ameweka wazi kuwa wanatambua wapinzani wao Yanga ni miongoni mwa timu bora katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini mipango yao ni kuhakikisha wanapata ushindi mkubwa kwa kuwa wanawajua vizuri na wamekuwa wakiwafuatilia wanapocheza. Novic ametoa kauli hiyo kuelekea katika mchezo wa kwanza…

Read More

CHELSEA KUTEKETEZA TENA BIL 101

KLABU ya Chelsea wanajiandaa kutoa ofa ya kumsajili Malo Gusto wa Lyon, kwa Euro milioni 40 (Sh bil 101.4) kwa mujibu wa ripoti mbalimbali za habari ikiwemo ESPN. Hakuna ofa rasmi iliyotolewa na Chelsea kwa Gusto, lakini tayari amekubaliana na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka sita na nusu na anataka kuhamia Stamford Bridge. Lyon…

Read More

MBAPPE ANAMTAKA BERNARDO PSG

STAA wa Ufaransa, Kylian Mbappe anataka PSG imsajili Bernardo Silva wa Man City ili kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji la klabu hiyo. Mbappe anamtaka Silva kwenda kuungana naye Parc des Princes mwishoni mwa msimu huu. Silva, 28, alimwambia Rob Dawson wa ESPN msimu uliopita wakati wa majira ya joto kwamba mustakabali wake ndani ya…

Read More

TEN HAG: UNITED WATANYANYUA TAJI MSIMU HUU

KOCHA wa Manchester United, Erik ten Hag alisema kwamba timu yake ina nafasi nzuri ya kushinda taji lao la kwanza tangu 2017 msimu huu. Ten Hag aliyasema hayo wakati wanajiandaa kwa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Carabao dhidi ya Nottingham Forest juzi ambao walishinda mabao 3-0. United imekosolewa na mashabiki wao…

Read More

SIMBA KAMILI KUIVAA COASTAL UNION

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wachezaji wote wa timu hiyo wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Coastal Union. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya kikosi cha Simba, Ahmed Ally amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo. Ni Januari 28,2023 ambayo ni Jumamosi utapigwa…

Read More

HAALAND MOTO CHINI, KAZI NYINGINE LEO USIKU

JANUARI bado inaendelea na maneno kuhusu huyu mwamba ndani ya Manchester City ni balaa. Kwa kutupia dani ya Premier League ni mkali wa kutupia kwenye ligi zote duniani zenye ushindani mkubwa. Mabao yake 25 yamewaacha mabeki wa Premier League wakiwa na hofu akivunjavunja rekodi za wababe wengi ndani ya ligi hiyo pendwa. Amevuka idadi ya…

Read More

MUSONDA AWATIBULIA MASTAA YANGA

MFUMO wa 4-4-2 anaotumia Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi kwa kuwachezesha washambuliaji wawili, huenda ukawavurugia viungo wa timu hiyo baadhi kujikuta wakisotea benchi katika michezo ijayo. Hiyo ni baada ya Yanga kufanikiwa kuipata saini ya mshambuliaji Mzambia, Kennedy Musonda katika usajili wa dirisha dogo uliofungwa Januari 15, mwaka huu. Nabi amelazimika kutumia mfumo wa…

Read More

NABI AWEKA REKODI MPYA YANGA

BAADA ya kikosi cha Yanga chini ya Kocha Nasreddine Nabi kugotea kwenye mechi 49 mfululizo kucheza bila kupoteza katika Ligi Kuu Bara, kasi yao imekuwa ni moto wa kuotea mbali kwa kushusha dozi kila wanayekutana naye, huku ikiaziacha mbali Simba na Azam. Ikumbukwe kwamba, Novemba 29, 2022 kwenye Uwanja wa Highland ubao uliposoma Ihefu 2-1…

Read More

WACHEZAJI ONYESHENI MAKALI UWANJANI

HAKUNA anayependa kuona anakosa nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza kwenye mechi ambazo timu yake itakuwa inacheza ndani ya uwanja. Imekuwa kawaida kwa wachezaji wanaopewa nafasi kutoonyesha utofauti wao na yule ambaye anakuwa asungua benchi jambo ambalo linapaswa kuwa tofauti. Sababu kubwa ya wachezaji kuwekwa benchi ni kushindwa kwenda na mpango kazi wa benchi la…

Read More

ZAIDI YA WATANZANIA 142 WAMENUFAIKA NA AJIRA KUPITIA MERIDIANBET TANZANIA

ZAIDI ya watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania, ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma za michezo ya kubashiri mtandaoni. Akizungumza katika uzinduzi wa duka la Meridianbet lililopo Mtaa wa Tandika Majaribio, Temeke, Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Meridianbet Tanzania, Matina Nkurlu, alisema kuwa kama…

Read More

CEO MPYA WA SIMBA HUYU HAPA

NI imani Kajula ametangazwa kuwa Mtendaji Mkuu mpya wa Simba SC akichukua nafasi ya Barbra Gonzalez ambaye alitangaza kujiuzulu kwenye nafasi hiyo. Mtendaji huyo mpya ameweka wazi kuwa anafurahi kujiunga na timu hiyo kwenye nafasi hiyo. Aidha amesema yeye ni shabiki na mwanachama wa timu hiyo kwa muda mrefu. “Mimi ni shabiki kindakindaki wa Simba…

Read More

WAKALI WA KUTUPIA HAT TRICK, KAFUNGUA 2023

MASTAA wanne ndani ya Ligi Kuu Bara wametupia hat trick ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Nyota wa kwanza kufanya hivyo ni Fiston Mayele wa Yanga ambaye alifunga mbele ya Singida Big Stars. Ni Novemba 17,2022 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 4-1Singida Big Stars ambapo bao la Singida Big Stars lilipachikwa…

Read More