
SAIDO AWEKA REKODI 4 KALI BONGO, MAZITO YAIBUKA MABAO YA AZIZ KI
SAIDO aweka rekodi 4 kali Bongo. mazito yaibuka mabao ya Aziz KI ndani ya Championi Jumatatu
SAIDO aweka rekodi 4 kali Bongo. mazito yaibuka mabao ya Aziz KI ndani ya Championi Jumatatu
KIUNGO mzawa ndani ya kikosi cha Simba, Mzamiru Yassin ni mvivu,mvivu,mvivu haswa kwenye kuongea lakini akiwa uwanjani anavunja jasho kwelikweli. Mara chache kumkuta akizungumza na hata akizungumza hana maneno mengi zaidi ya tunasmhurku Mungu na maandalizi yapo vizuri. Eneo lake la kati kwenye ukabaji bado Simba haina mbadala wake mzawa ikiwa atasepa kwenye kikosi cha…
KIKOSI cha Arsenal kimewatungua mabao 4-2 Brighton kweye mchezo wa kuamkia Januari Mosi 2022 Soka. Ni mabao ya Bukayo Saka dakika ya pili, Martin Odegaard dakika ya 39, Eddie Nketiah dakika ya 47 na Gabriel Martinelli dakika ya 71 hawa walifunga katika Uwanja wa Amex. Paul Merson anasema nafasi ya Arsenal kuwa kilelei ndani ya…
UBAO wa Uwanja wa Azam Compex baada ya dakika 90 ulisoma Azam FC 6-1 Mbeya City na kuwafanya matajiri hao kufunga mwaka kibabe. ni Sopu alitupia kambani mabao mawili, Prince Dube, Keneth Muguna ,Nado na Mkandala walitupia bao mojamoja. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Azam Complex ulikuwa ni wa kufungia mwaka 2022. Bao la Meya…
2023 kiungo wa mpira mwenye mkataba na Yanga mpaka 2024 umemkutia akiwa ndani ya Dubai ambapo amekwenda kwa ajili ya majukumu yake. Nyota huyo mwenye mabao sita na pasi mbili za mabao amekuwa kwenye mvutano na mabosi wa timu yake kuhusu mkataba wake. Fei mwenyewe amewaaga mashabiki na kuwashukuru viongozi kwa muda ambao ametumika ndani…