VIDEO:MTAZAME BERNARD MORRISON NAMNA ALIVYOWAAGA SIMBA
JIKUMBUSHE namna Bernard Morrison alivyowaaga wachezaji wenzake
JIKUMBUSHE namna Bernard Morrison alivyowaaga wachezaji wenzake
MJUMBE wa Kamati ya Mashindano ya Yanga na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Injinia Hersi Said, anajivunia usajili bora wa kiungo mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ ambao umeongeza ubora wa kikosi chao. Sure Boy ni kati ya wachezaji watano waliosajiliwa na Yanga katika dirisha dogo msimu huu akitokea Azam FC. Wachezaji wengine waliosajiliwa na timu…
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa tatizo ambalo linamsumbua kwa sasa ni ubora wa wachezaji wake hasa kwenye safu ya ushambuliaji. Kwenye mchezo wao mzunguko wa pili dhidi ya Azam FC Uwanja wa Azam Complex uliochezwa Mei 18, mabingwa hao watetezi walilazimisha sare ya kufungana bao 1-1. Ni Rodgers Kola alifunga dk ya 37…
BOSI mpya wa Manchester United, Erik ten Hag amevunja mkataba wake ili kuiwahi klabu yake hiyo mpya tayari kwa kuweka mambo sawa. Ten Hag alitarajiwa kumaliza mkataba wake na Ajax, Juni 30, mwaka huu, lakini Jumatatu alitarajiwa kutua ndani ya Manchester United lakini sasa ameondoka zikiwa zimesalia wiki sita kabla ya kumalizana na timu yake…
KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amesema kuwa watafanya kila liwezekanalo kuhakikisha wanapata ushindi dhidi ya Azam FC ili kuendelea kukusanya pointi nyingi zaidi. Simba leo Jumatano wanatatarajiwa kucheza na Azam FC katika mchezo wa mzunguko wa pili wa ligi kuu utakaofanyika katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar. Simba wataingia katika mchezo…
KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania, amefichua kuwa anaamini suala la ubingwa kwa Yanga bado gumu kwa kuwa hata wao wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa huo ikiwa Yanga wataendelea kuangusha pointi katika mechi zao za Ligi Kuu Bara. Pablo ametoa kauli hiyo kufuatia Yanga kufikisha pointi 57 baada ya mechi 23…
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wanaonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Ijumaa watakuwa kwenye msako wa pointi tatu. Ni mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya Kwanza utakaochezwa Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku. Awali mchezo huo ulitarajiwa kuchezwa Jumamosi ya Mei 21 sasa ngoma itapigwa Mei 20, Uwanja wa Mkapa. Yanga imetoka kushinda…
MTIHANI mwingine wa kusaka pointi tatu kwa vigogo ndani ya ligi, Azam FC V Simba ni leo Uwanja wa Azam Complex kwa timu kuwa kwenye msako wa pointi tatu. Macho na maskio kwa muda wa dk 90 utakuwa hapo kusubiri nini kitatokea,hapa tunakuletea kazi zitakavyokuwa:- Mechi zao tano zilizopita Azam FC ilikuwa kwenye mechi 5…
MSHINDI wa Jacpot Florian Valerian Massawe amekabidhiwa mfano wa hundi ya Bilioni 1,255,316,060/ na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Tarimba Abbas. Ni leo Mei 18 mshindi huyo amekabidhiwa katika ofisi za Sportpesa mbele ya mwakilishi kutoka TRA, Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Michezo ya Kubahatisha pamoja na mke wa mshindi Lightness Florian Massawe. Mshindi huyo amesema…
STAA wa Polisi Tanzania, Vitalis Mayanga anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki sita kabla ya kurejea uwanjani kwa sasa akiwa amebakiza wiki mbili. Mayanga atakuwa nje kwa muda huo akitibu majeraha ambayo aliyapata kwenye mchezo dhidi ya Simba uliochezwa Aprili 10, kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi. Kwenye mchezo huo wa ligi timu zote…
BAADA ya kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Yanga,mpango namba moja kwa Dodoma Jiji ni kuweza kushinda mechi zao ambazo zimebaki. Ikiwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma ilikubali kushuhudia mabao ya Dickosn Ambundo pamoja na la kipa wao Mohamed kujifunga jambo lililofanya wakapoteza pointi tatu mazima. Msemaji wa Dodoma Jiji, Moses Mpunga amesema wanamikakati mikubwa ya kuhakikisha…
LIVERPOOL imepindua meza kibabe mbele ya Southampton iliyo nafasi ya 15 na pointi 40 kibindoni. Nathaniel Redmond aliwatungua Liverpool mapema kabisa ilikuwa ni dk ya 13 kisha Takumi Minamino dk ya 27 aliweka usawa ilikuwa kwa shuti kali lililomshinda kipa kwenye mchezo huo. Dakika 45 za mchezo zilikamilika kwa timu zote kufungana bao 1-1 na…
Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezea sloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwako sasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matunda kama zile sloti za kizamani ila imeboreshwa zaidi! Sifa mpya zilizoongezwa zinakuhakikishia ushindi mkubwa zaidi. Namna ya Kucheza Mchezo wa Bursting Hot 5 Ukiingia kwenye sehemu ya Kasino ya Mtandaoni ya…
KOCHA Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp ameweka wazi kwamba walikuwa na mpango wa kuinasa saini ya nyota wa PSG, Kylian Mbappe. Klopp amebainisha kwamba wao sio vipofu kwenye kuingia vita vya kusaka saini yake kwa kuwa kuna timu zenye nguvu kubwa. Klopp ameweka wazi kwamba kwa sasa hawawezi kushindana na Real Madrid pamoja na mabosi…
MEI 18, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kwa timu kuzidi kusaka ushindi kwenye mechi ambazo watacheza na leo ni mchezo mmoja tu wa mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa. Azam FC itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Azam FC mchezo unaotarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku. Azam FC ipo nafasi ya 5 ikiwa na pointi…
GEORGE Mpole, mshambuliaji namba moja wa kikosi cha Geita Gold na mzawa namba moja kwa utupiaji Bongo jina lake halisadifu yaliyomo kwenye miguu yake. Nyota huyo kwa sasa anaongoza chati ya washambuliaji wakali wa kucheka na nyavu huku akiwa anaitwa Mpole kwa jina lakini uwanjani yeye anatupia tu. Bao pekee la ushindi ambalo alifunga mbele…
UTAZAME muonekano wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano