VIDEO:KAY MZIWANDA ABAINISHA KUHUSU WANACHOTAKA SIMBA
KAY Mziwanda amebainisha kile ambacho Wanasimba wanahitaji kwenye upande wa usajili wa dirisha dogo ndani ya kikosi hicho
KAY Mziwanda amebainisha kile ambacho Wanasimba wanahitaji kwenye upande wa usajili wa dirisha dogo ndani ya kikosi hicho
JEMBE mkongwe kwenye masuala ya uandishi wa habari za michezo ametaja timu aliyokuwa anaifuatilia Kombe la Dunia ilikuwa ni Brazil lakini kilichotokea kimetokea na amefurahi kuona Timu ya Taifa ya Morocco ikiingia hatua ya nusu fainali
KLABU ya Yanga, imepangwa kundi moja na timu za TP Mazembe ya DR Congo, US Monastir ya nchini Tunisia na Real Bamako ya Mali katika droo iliyofanyika hii leo. Yanga inayoshiriki katika Ligi ya Shirikisho Barani Afrika, ilifuzu kuingia katika hatua ya makundi baada ya kung’ara katika hatua za awali ambapo sasa, wamepangwa katika Kundi…
KLABU ya Simba ya Tanzania, imepangwa katika kundi C katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika. Kwenye kundi hilo ambalo ikiwa Simba watapanga kete vizuri wanaweza kutusua na wakibugi watapotezwa itakutana na Vipers kutoka Uganda, Horoya ya Guinea na Raja Cassablanca ya Morocco. Simba ilifanikiwa kuingia katika Hatua ya Makundi katika mashindano ya Klabu Bingwa na…
TAARIFA zinaeleza kuwa, Klabu ya Yanga chini ya wadhamini wao Kampuni ya GSM, rasmi imemalizana na kiungo wa Uganda, Bobosi Byaruhanga na kumpatia mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya kutua katika usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufunguliwa Desemba 16, mwaka huu. Bobosi ambaye alikuwa mchezaji huru kwa muda mrefu baada ya mkataba wake na…
MABOSI wa Berkane FC ya nchini Morocco wamefunga safari kumfuata kiungo mchezeshaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwa ajili ya kuinasa saini yake ikiwa ni baada ya kukoshwa na uwezo wake ambao amekuwa akiuonyesha kila mara akiwa anaitumikia timu hiyo. Kiungo huyo mara kadhaa amekuwa akiwaniwa vikali na baadhi ya klabu za nje ya nchi kwa…
KUELEKEA usajili wa dirisha dogo, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, Juma Mgunda, tayari amekutana na viongozi wa Bodi ya Wakurugenzi na kuwasilisha ripoti ya maboresho ya kikosi chake, huku jina la straika, Cesar Manzoki likijadiliwa kwa ukubwa. Dirisha dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa Desemba 16, mwaka huu na kufungwa…
KOCHA msaidizi wa Yanga,Cedrick Kaze ambaye ameongoza kikosi hicho kupata ushindi wa mabao 8-0 dhidi ya Kurugenzi mchezo wa raundi ya Pili na amebainisha kuwa mshammbuliaji wa timu hiyo Clement Mzize alikuwa anakaa kwenye nafasi na anaongeza hali ya kujiamini huku akibainisha kuwa kunakuwa na ongezeko la machaguo lakini kiwango hakikuwa bora
WAKATI droo CAF ikipangwa leo, Bosi Yanga:Tunamtaka yeyote yule, Phiri atoa ujumbe mzito Simba, ndani ya Championi Jumatatu