>

WACHEZAJI YANGA WAMETOA AHADI HII KWA MABOSI

WACHEZAJI wa Yanga kwa pamoja wamewaahidi viongozi wa timu hiyo, kupambana kwa dakika 90 ili kuhakikisha wanarejresha imani ya mashabiki katika Kariakoo Dabi. Dabi hiyo inatarajiwa kuzikutanisha Simba dhidi ya Yanga katika mchezo wa raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara utakaochezwa Jumapili hii kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Ni Jumatatu timu ilirejea kambini Kijiji…

Read More

SIKU MBAYA KAZINI AZAM FC,KAGERA SUGAR

LICHA ya bao la kusawazisha ambalo lilifungwa na Idris Mbombo wa Azam FC dakika ya 18 bado pira kodi lilisepa na pointi tatu mazima. Ni kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Uhuru baada ya dakika 90 ubao umesoma KMC 2-1 Azam FC. Nyota wa KMC, Nzigamasab Styve alifunga bao la kuongoza dakika ya 15…

Read More

JUMA MGUNDA ATAJA ANACHOJIVUNIA KUIKABILI YANGA

KOCHA Mkuu wa Simba, Juma Mgunda ametamba kuwa katika maisha yake ya soka hajawahi kuiogopa timu yoyote huku akitamba kuwa yupo tayari kwa ajili ya mapambano Kariakoo Dabi. Kariakoo Dabi hiyo inatarajiwa kupigwa Jumapili saa kumi na moja kamili jioni kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Mgunda ataingia uwanjani akiwa na…

Read More

YANGA V SIMBA, HAWA HAPA WAAMUZI

WAAMUZI wa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga v Simba wametangazwa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba 23, Uwanja wa Mkapa ambapo kiingilio kwa mzunguko ni 5,000. Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imemtaja Ramadhan Kayoko kuwa ni mwamuzi wa kati. Pia wengine ambao atafanya nao kazi kwenye mchezo huo…

Read More

AZAM FC WANAZITAKA POINTI TATU ZA KMC

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa muda ndani ya Azam FC ameweka wazi kuwa wanawaheshimu wapinzani wao KMC lakini pointi zao tatu wanazitaka jambo linalowafanya wajiandae vizuri. Ibwe amepewa majukumu kwa muda akichukua mikoba ya Zakaria Thabit ambaye amefungiwa kutojihusisha na masuala ya soka kwa muda wa miezi mitatu na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa…

Read More