Home Sports VIDEO:YANGA KUREJESHA FURAHA, UTANI WA JADI ACHA UENDELEE

VIDEO:YANGA KUREJESHA FURAHA, UTANI WA JADI ACHA UENDELEE

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema Jumapili mashabiki wa Yanga watakuwa na furaha kuanzia saa 2:00 usiku huku akiweka wazi kuwa utani wa jadi lazima uendelee huku watani zao wa jadi watakuwa na kazi kwenye hatua ya makundi kwani kuna hatihati ya kuweza kukutana na Al Ahly ama Zamalek

Previous articleJUMA MGUNDA ATAJA ANACHOJIVUNIA KUIKABILI YANGA
Next articleSIKU MBAYA KAZINI AZAM FC,KAGERA SUGAR