
KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA YANGA, UWANJA WA MKAPA
WAKATI leo Simba ikitarajiwa kumenyana na Yanga huenda hiki hapa kikawa kikosi ambach kinaweza kupangwa na Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda namna hii:- Aishi Manula Israel Mwenda Henock Inonga Joash Onyango Zimbwe Sadio Kanoute Mzamiru Yassin Clatous Chama Kibu Dennis Moses Phiri Okra Una maoni tofauti na haya?