>

FIFA YAITAKA YANGA ILIPE FAINI KWA EYMAEL

IMEELEZWA kuwa Yanga wameambiwa wamlipe Luc Eymael aliyekuwa kocha wa timu hiyo msimu wa 2020 kiasi cha dola milioni 152 za kimarekani. Taarifa kutoka Shirikisho la Soka Kimataifa, (FIFA) imeeleza kuwa Yanga wamepewa siku 45 kulipa fedha hizo. Ikiwa watakwama kukamilisha shauri hiyo kwa muda wa siku 45 watapewa adhabu ya kufungiwa kufanya usajili kwenye…

Read More

STAA HAALAND NI MKWANJA MREFU ANAKUNJA

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland ambaye ametua ndani ya timu hiyo kwa pauni milioni 51 akitokea Borussia Dortmund anakunja mkwanja mrefu kinomanoma. Staa huyo mwenye miaka 22 analipwa vizuri ndani ya Etihad inaelezwa kwamba ukiweka kando bonasi anazopokea kwa wiki anakunja pauni 850,000 (bilioni 2.2 za Kitanzania). Ukicheki mshahara wa nyota huyo na zile…

Read More

KIMATAIFA KAZI IFANYIKE KWELI NGOMA NI NZITO

IKIPIGWA sana ngoma mwisho inashindwa kuhimili mikikimikiki hiyo inagotea kwenye kupasuka jambo litakaloifanya iepukane na suala la kupigwa kwa mara nyingine. Uzuri ni kwamba kwenye suala la upigaji na yule anayepiga lazima atambue kwamba itafika muda na yeye atapigwa tu kwani kuimba ni kupokezana. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika tunaona kwamba wawakilishi wetu kimataifa wanatamba…

Read More

SIMBA WAKWEA PIPA KUWAFUATA WAPINZANI KIMATAIFA

MSAFARA wa wachezaji 24 wa kikosi cha Simba leo mapema Oktoba 8,2022 wamekwea pipa la kukodi kuelekea Angola. Ni kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto unaotarajiwa kuchezwa kesho, Oktoba 9, Uwanja wa Novemba 11 uliopo Angola. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo kwenye msafara huo ni kipa namba moja…

Read More

WATATU WA SIMBA KUIKOSA de AGOSTO YA ANGOLA

MASTAA watatu wa Simba kesho wanatarajiwa kutokuwa sehemu ya msafara utakaolekea nchini Angola kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto. Alfajiri ya Jumamosi, kikosi cha Simba kinachonolewana Kocha Mkuu, Juma Mgunda kinatarajia kuanza safari kuelekea Angola kwa ndege ya kukodi. Leo Ijumaa, Oktoba 7,2022 kikosi hicho kimefanya mazoezi ya…

Read More

NABI: SISI HATUONGEI SANA NI KUTAFUTA MATOKEO

 NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wanatambua mchezo wao wa kesho utakuwa mgumu lakini wao hawaongei sana zaidi ni kutafuta matokeo. Yanga itawakaribisha Al Hilal kwenye mchezo wa raundi ya Pili Ligi ya Mabingwa Afrika. Kocha huyo amebainisha kuwa maandalizi ambayo wameyafanya yanawapa imani ya kupata matokeo kwenye mchezo wao. “Sisi hatuongei…

Read More