U 23 YATOSHANA NGUVU NA SUDAN KUSINI AZAM COMPLEX

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 23 leo Septemba 23 kimelazimisha suluhu dhidi ya Timu ya Taifa ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON. Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Azam Complex ambapo wageni Sudan Kusini walicheza kwa umakini wakitumia mbinu ya kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza. U 23 ilianza…

Read More

MAYELE ATOA KAULI YA KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amesema yeye na wachezaji wenzake hawana presha kuhusu mchezo wa raundi ya pili ya mtoano dhidi ya Al Hilal ya Sudan Kaskazini. Mayele ametoa kauli hiyo kwa kujiamini akisema ni halali yao kuingia makundi katika michuano ya Kombe la Mabingwa Afrika kwani wana wachezaji wazuri na wanajiamini, hivyo hawana presha…

Read More

WINGA DEMBELE ASIMULIA ALIVYOPOTEZA MIAKA MITANO

WINGA wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Ufaransa Ousmane Dembele amefunguka juu ya maumivu aliyoyapitia katika miaka yake mitano ya awali akiwa na kikosi chake cha Barcelona. Dembele ambaye kwa sasa yupo na kikosi cha Taifa cha Ufaransa kinachoshiriki michezo ya Uefa Nations amefunguka akidai kuwa miaka yake mitano ya awali akiwa…

Read More

YANGA WAIPIGIA HESABU AL HILAL

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wameona ubora wa wapinzani wao Al Hilal ya Sudan hivyo watafanya maandalizi mazuri kupata matokeo. Nabi amesema ameona ubora wa Al Hilal ambao ameuficha kwa kukataa kuuweka wazi kwa kuhofia wapinzani kushtuka, zaidi akipanga kukiimarisha zaidi kikosi chake ili kuhakikisha anapata ushindi nyumbani na ugenini. “Mimi ni…

Read More

MECHI MBILI ZA KIRAFIKI SIMBA KUCHEZA ZANZIBAR

MECHI mbili za kirafiki watacheza wakiwa Zanzibar watanza na Kipanga, Septemba 25 na Septemba 28 watacheza dhidi ya Malindi. Mechi hizi za kirafiki ni kutokana na mwaliko ambao wameupata kutoka Shirikisho la Soka la Zanzibar, (ZFF). Meneja wa Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mechi zote zitachezwa saa moja usiku na itakuwa…

Read More