KMC HESABU ZAO ZA MZUNGUKO WA PILI ACHA KABISA

UONGOZI wa KMC umeweka wazi kwamba kwa sasa hesabu zao ni kuweza kufanya vizuri mechi zilizopo mbele yao katika kumaliza mzunguko wa pili. Baada ya kucheza mechi 25 KMC imekusanya pointi 31 ipo nafasi ya 10 kwenye msimamo. Mchezo wao ujao ni dhidi ya Tanzania Prisons iliyo nafasi ya 14 na pointi 25 inapambana kujinasua…

Read More

MSIMU UNAFIKA UKINGONI SASA HESABU MUHIMU

WAKATI uliobaki kwa sasa kwenye Ligi Kuu Bara ni mdogo hasa ukizingatia kwamba mechi zilizobaki hazizidi 7 kwa timu zinazoshiriki ligi hivyo ni muda wa kukamilisha hesabu. Matokeo ambayo yanapatikana leo ni maandalizi ya jana hivyo kwa sasa ni muda wa kufanya maandalizi mazuri kwa ajili ya kesho. Tunaona kwamba wapo wachezaji ambao kwa sasa…

Read More

AZIZ KI ATAJWA KUMALIZANA NA MABOSI MSIMBAZI

KIUNGO mshambuliaji wa Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast, Stephane Aziz Ki anatajwa kumalizana na mabosi wa Simba kwa dili la miaka miwili. Nyota huyo anatajwa kuingia kwenye rada za watani wa jadi wa Simba ambao ni Yanga waliokuwa kwenye mazungumzo naye. Dili ambalo Yanga walitajwa kumpa ilikuwa ni miaka mitatu na kilichokuwa kimebaki ni…

Read More

KIUNGO WA SIMBA AREJEA

CLATOUS Chama nyota wa Simba huenda atakuwa miongoni mwa nyota watakaoonyesha makeke yao kwenye mechi za ligi baada ya kuwa fiti. Mei 28, Chama alikuwa shuhuda kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kome la Shirikisho dhidi ya Yanga na timu yake ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 na mtupiaji akiwa ni Feisal Saulu, huku…

Read More

KOCHA HUYU KAIZER CHIEFS ATAJWA SIMBA

IMEELEZWA kuwa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Gavin Hunt yupo kwenye rada za mabosi wa Simba ili achukue mikoba ya Pablo Franco. Kocha huyo alikuwa kwenye benchi la ufundi Mei 15,2020 wakati timu yake ikishinda mchezo wa kwanza mbele ya Simba kwa mabao 4-0. Kwa sasa kikosi cha Simba kipo chini…

Read More

MASTAA HAWA WAMEANZA KUONYESHA MAKEKE JIONI

MUDA wa mahesabu wapo ambao huwa hawajali itakuaje zaidi ya kuendelea kupambana mpaka wanafikia lengo lao wakiamini kwamba anayecheka mwisho huwa na furaha zaidi. Kuna mastaa msimu wa 2021/22 kwao walianza kwa kusausa na sasa ligi ikiwa inakaribia kumeguka kwa shimo limeanza kutema jioni kabisa namna hii:- Jeremia Juma Staa wa kwanza kufunga hat trick…

Read More

UEFA NATIONS LEAGUE KUFIKIA TAMATI WIKIENDI HII, UNAMALIZAJE?

Pengine unaweza kudhani mashindano ya mwaka huu ni kama yamesusiwa na wachezaji, mataifa makubwa yanaanguka viwanjani. Mkeka wako wa UEFA Nations League umetusua au umechanika? Hizi hapa Odds bora wikiendi hii; Uingereza kuitupa karata yake ndani ya Wembley kuchuana na Italia, maumivu ya kupoteza fainali ya Euro 2020 yanaweza kuwapa chachu vijana wa Southgate kupata…

Read More

KOCHA SIMBA AANZA NA MUGALU

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba ambaye kwa sasa ni Kaimu Kocha Mkuu wa timu hiyo ameanza kazi kwa kuwapa mbinu wachezaji wa timu hiyo kwa ajili ya mechi zilizobaki. Ikiwa imecheza mechi 25 na kukusanya pointi 51 imebakiwa na mechi tano kukamilisha mzunguko wa pili na kufunga hesabu kwa msimu wa 2021/22. Matola Juni…

Read More

YANGA YAINYOOSHA JKT TANZANIA 3-2

KIKOSI cha Yanga kimeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya JKT Tanzania kwenye mchezo wa kirafiki wa kuweza kujiweka sawa. Mchezo wa leo ni maalumu kwa ajili ya timu hiyo kujiweka sawa kuelekea mchezo wao wa ligi ujao. Juni 15,2022 Yanga inatarajiwa kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa…

Read More

KOCHA STARS AFICHUA TANZANIA ITAKAVYOFUZU AFCON

BAADA ya kupoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya timu ya Taifa ya Algeria katika mchezo wa kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la mataifa ya Afrika (Afcon 2023), Kocha Mkuu wa Stars, Kim Poulsen ameweka wazi kuwa atatumia michezo miwili ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (Chan), kama sehemu ya…

Read More

AZIZ KI KUVUNJA REKODI YA USAJILI YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast, Stephane Aziz Ki, huenda akavunja rekodi ya usajili ya beki wa kulia wa timu hiyo, Djuma Shaaban. Nyota huyo raia wa Burkina Faso inaelezwa yupo nchini Tanzania akiwa amefichwa na mabosi wa Yanga kwenye moja ya hoteli kubwa jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya…

Read More

PROFESSOR JAY ARUHUSIWA HOSPITALI

MWANAMUZIKI maarufu wa Hip Hop nchini na mbunge mstaafu wa Mikumi, Joseph Haule (Prof. Jay) aliruhusiwa kurejea nyumbani Juni 9, 2022 kutoka hospitali alikokuwa amelazwa baada ya kupatiwa matibabu kwa siku 127 na afya yake kuimarika. Leo Juni 10 Hospitali ya Taifa Muhimbili imeeleza taarifa hiyo kupitia kwenye mtandao wake wa kijamii. Nyota huyo aliwahi…

Read More

WACHEZAJI WAPIGWA MKWARA NA NABI

NASREDDINE Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake bado wana kazi ya kufanya kwa ajili ya mechi zilizobaki na kufikia malengo ya kutwaa ubingwa wa ligi. Yanga ipo nafasi ya kwanza kwenye msimamo ikiwa na pointi 64 baada ya kucheza 26 na haijapoteza mchezo hata mmoja. Nabi amesema kuwa licha ya kuwaacha wapinzani wao…

Read More