MASTAA WATATU SIMBA MAMBO NI MAGUMU KWAO

MASTAA watatu wa kikosi cha Simba ndani ya msimu wa 2021/22 kwenye ligi wanapata tabu kwa kuwa wamekwama kufunga kwenye mechi zao zote walizocheza. Simba wakiwa ni mabingwa watetezi eneo la ushambuliaji wanateswa na tatizo la kushindwa kumaliza nafasi ambazo wanazitengeneza jambo linalowafanya wawe kwenye mwendo wa kusuasua. Washambuliaji wake watatu msimu huu kwenye ligi…

Read More

HIZI HAPA KUSHUKA UWANJANI LEO BONGO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea le Mei 8 ambapo kutakuwa na msako wa pointi tatu kwa timu nne kwenye viwanja viwili tofauti ndani ya dk 90 za kazi. Ni Coastal Union inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda watakuwa Uwanja wa Mkwakwani,Tanga kusaka pointi tatu mbele ya Polisi Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu,Malale Hamsini. Simba ambao…

Read More

NYOTA ANAYEWINDWA SIMBA AINGIA ANGA ZA YANGA

YANGA imeonekana kupania kufanya usajili bora utakaokuwa tishio kimataifa baada ya kumfuata mshambuliaji wa US Gendarmarie ya nchini Niger, Victorien Adebayor ambaye imemuwekea Sh 250Mil ili kuinasa saini yake. Simba ndiyo ilikuwa ya kwanza kumfuata mshambuliaji huyo anayecheza kwa mkopo Gendarmarie ambaye anamilikiwa na Klabu ya HB Køge inayocheza Ligi Daraja la Kwanza nchini Denmark….

Read More

VIGOGO YANGA NA SIMBA WAKWAMA ILULU

VIGOGO wa Kariakoo, msimu wa 2021/22 wamekwaa kisiki cha mpigo Ilulu mbele ya Namungo kwa kushindwa kusepa na pointi tatu mazima. Msimu huu ushindani umekuwa ni mkubwa na kila timu imeoneana kufanya vizuri katika mechi ambazo inacheza jambo ambalo limekuwa likileta burudani mwanzo mwisho. Vigogo wa Kariakoo, Yanga na Simba walipofunga safari mpaka Ilulu, walikwama…

Read More

SIMBA WATUMA UJUMBE HUU KWA YANGA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utawekeza nguvu kubwa kwenye Kombe la Shirikisho ambalo lipo mikononi mwao na hawatahofia kukutana na wapinzani wao Yanga. Tayari Yanga imekata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali inasubiri mshindi wa mchezo kati ya Simba na Pamba ili kujua itacheza na nani hatua ya nusu fainali. Meneja wa Kitengo…

Read More

WATATU WALETWA LEO NDANI YA SIMBA

LEO Mei 7,2022 watatu ni kumbukizi zao za kuletwa duniani wakiwa ndani ya kikosi cha Simba. Ni mchezaji Erasto Nyoni ambaye ni kiraka huyu msimu huu hajafunga wala kutoa pasi ya bao kwenye mechi za ligi. Mwingine ni meneja wa timu,Patrick Rweyemamu ambaye amekuwa akifanya kazi kwa ukaribu na familia ya michezo. Pia mtunza vifaa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA

LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo ambapo kuna mechi zitaendelea kwa mzunguko wa pili kwa kila timu kusaka pointi tatu muhimu. Geita Gold itakuwa na kazi ya kumenyana na Kagera Sugar, Uwanja wa Nyankumbu saa 8:00. Mtibwa Sugar itakuwa na kazi dhidi ya Mbeya City,Uwanja wa Manungu saa 10:00 jioni. Azam FC v KMC…

Read More

YANGA:HATA TUKIFUNGWA,MALENGO YAPO PALEPALE

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba wanaweza kufungwa kwenye mechi za ligi ila hilo haliwataondoa kwenye mpango wa kutwaa taji la Ligi Kuu Bara. Kwenye msimamo Yanga ni namba moja ikiwa imecheza mechi 22 na kukusanya pointi 56 ikiwa haijapoteza mchezo zaidi ya kuambulia sare 5 na kushinda mechi 17. Ofisa Habari wa Yanga, Hassan…

Read More

AZAM FC YAWAITA MASHABAKI KUIZOMEA KMC

UONGOZI wa Azam FC umewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Azam Complex leo kuwazomea wapinzani wao KMC ili kuwamaliza mapema kwenye mchezo wa ligi. Timu hiyo ikiwa imetoka kuambulia kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar,leo ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya KMC FC.  Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit…

Read More

USHINDANI WA LIGI UPUNGUZE MAMBO MENGI

LIGI inazidi kupamba moto kwa sasa na hilo lipo wazi hasa ukitazama namna ambavyo timu zinacheza kwa sasa kwenye mzunguko huu wa pili. Ukitazama namna pointi walizoachana kuanzia yule aliyepo nafasi ya mwisho mpaka iliyopo ndani ya 10 bora sio namba ya kutisha na zote kwa sasa bado zinapambania kushuka daraja. Ajabu ni kwamba hata…

Read More

SALAH AWAONYA REAL MADRID, ATAKA KULIPIZA KISASI FAINALI UEFA

MADRID, Hispania STRAIKA wa Real Madrid, Mohamed Salah, ameshuhudia Real Madrid ikiichapa Manchester City na kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa, akafurahi na kusema: “Hawa ndio nawataka nijilipizie kisasi.” Salah amesema anawasubiri kwa hamu Real Madrid Mei 28 jijini Paris akitaka kulipiza walivyomuumiza moyo miaka minne iliyopita, alipogongwa na Sergio Ramos akaumizwa mkono, kisha Liverpool…

Read More

NYOTA MAN UNITED AWA MUUZA SAA

MANCHESTER, England NYOTA wa zamani wa Manchester United, Ramon Calliste ambaye alitamba utotoni na akina Cristiano Ronaldo na Wayne Rooney, ameliacha soka na kuwa muuza saa za kisasa. Calliste alikuwa akitajwa kama Ryan Giggs ajaye, alitamba katika timu ya vijana ya United. Hata hivyo, jeraha baya la enka alilopata mwaka 2006, lilimlazimisha astaafu soka mapema….

Read More

LIVERPOOL INAKARIBIA MAKOMBE 4 KWA MSIMU HUU

LIVERPOOL baada ya kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi, sasa kuna uwezekano wa miamba hiyo ya Anfield kutwaa makombe manne makubwa ‘quadruple’ ndani ya msimu mmoja. Itakuwa ni historia na rekodi ambayo haijawahi kuwekwa England. Liverpool iliichapa Villarreal 3-2 ugenini juzi nchini Hispania, na kuwaondoa vijana hao wa kocha Unai Emery kwa jumla…

Read More