BEKI YANGA AONGEZA DILI JIPYA

RASMI beki kisiki wa Yanga ambaye ni nahodha pia Bakari Nondo Mwamnyeto ameongeza kandarasi ya miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo. Mkataba wa nyota huyo ambaye aliibuka hapo akitokea kikosi cha Coastal Union ulikuwa unatarajiwa kufika tamati mwishoni mwa msimu wa 2021/22. Miongoni mwa timu ambazo zilikuwa zinatajwa kuwania saini yake ni pamoja na timu…

Read More

MKUDE AVURUGA MIPANGO YA PABLO SIMBA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema wachezaji wake wa kikosi cha kwanza ambao hawajawa fiti wanavuruga mipango ya timu hiyo kutokana na kumpa kazi ya kubadili kikosi cha ushindi. Miongoni mwa wachezaji ambao hawajawa fiti kwa sasa ndani ya Simba ni pamoja na kiungo wa kazi Jonas Mkude na mshambuliaji Chris Mugalu. Akizungumza na…

Read More

SURE BOY AMPA KIBURI BOSI YANGA

MJUMBE wa Kamati ya Mashindano ya Yanga na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Injinia Hersi Said, anajivunia usajili bora wa kiungo mchezeshaji, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ ambao umeongeza ubora wa kikosi chao. Sure Boy ni kati ya wachezaji watano waliosajiliwa na Yanga katika dirisha dogo msimu huu akitokea Azam FC. Wachezaji wengine waliosajiliwa na timu…

Read More

INJINIA HERSI AFICHUA USAJILI YANGA

MJUMBE wa Kamati ya Mashindano na Usajili wa Yanga ambaye pia ni Mkurugenzi Uwekezaji wa GSM, Injinia Hersi Said, ameahidi msimu ujao kufanya usajili mkubwa zaidi utakaokuwa gumzo Afrika kwa kushusha mashine hatari zaidi ya Khalid Aucho na Yannick Bangala. Hiyo ni baada ya msimu huu unaoelekea ukingoni kushusha vifaa vya maana wakiwemo nyota hao…

Read More

MBWANA MAKATA,MENEJA WA MBEYA KWANZA WAFUNGIWA

KOCHA wa Mbeya Kwanza, Mbwana Makata na Meneja wa timu hiyo, David Naftali, wamefungiwa kwa kipindi cha miaka mitano (5) kila mmoja kwa kosa la kushawishi/kuamuru wachezaji wasiingie uwanjani kuanza mchezo,  Tukio hilo lililosababisha Mechi Namba 180 ya Ligi Kuu Bara Namungo vs Mbeya Kwanza usichezwe lilitokea kwenye Uwanja wa Ilulu, Lindi. Taarifa iliyotolewa na…

Read More

KATWILA ATAJA KILICHOWAREJESHA LIGI KUU BARA

ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa kurejea kwao ndani ya Ligi Kuu Bara kumetokana na mipango mizuri iliyopangwa pamoja na ushirikiano kutoka kwa wachezaji. Ihefu ilishuuka ndani ya ligi msimu uliopita wa 2020/21 na sasa umerejea ndani ya ligi kwa ajili ya kuendelea na ushindani kwa mara nyingine tena. Katwila ameweka wazi kwamba…

Read More

HAJI:KUPATA SARE MFULULIZO KULITUPA SOMO

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa sare tatu mfululizo ambazo walizipata ziliwapa presha kidogo jambo ambalo liliweza kuwafanya wajipange kwa mara nyingine. Kwenye mechi tatu ambazo ni dk 270 Yanga walikwama kushinda zaidi ya kuambulia sare mazima kwenye msako wa pointi 9 waliambulia pointi tatu. Ilikuwa mbele ya Yanga, Ruvu Shooting na Tanzania…

Read More

WASHIKA BUNDUKI WAMECHANA MKEKA

KICHAPO cha mabao 2-0 wakiwa ugenini kimewapunguza kasi washika bunduki kuigusa Top 4 kutokana na kuachwa pointi na wale walio nafasi ya nne. Ni Tottenham ipo nafasi ya nne ikiwa na pointi 68 baada ya kucheza mechi 37 ikiwa ni tofauti ya pointi mbili na Arsenal. Ben White alijifunga dk ya 55 ya mchezo ilikuwa…

Read More

YANGA:SIMBA WALIJIPOTEZEA UBINGWA WENYEWE

MWINYI Zahera,Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soka la Vijana ndani ya Yanga amesema kuwa Simba wamejipotezea ubingwa wa ligi weyewe baada ya kushindwa kuwafunga vinara wa ligi. Ni Yanga wanaongoza wakiwa na pointi 60 baada ya kucheza mechi 24 waliweza kufikisha pointi hizo baada ya ushindi mbele ya Dodoma Jiji kwa mabao 2-0 Uwanja wa Jamhuri,Dodoma….

Read More