MANCHESTER UNITED MAJANGA HUKO,KOSA LAO LATAJWA

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa walishindwa kutumia vizuri nafasi ambazo walizipata kipindi cha kwanza jambo ambalo liliwafanya wapoteze mchezo wao. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Old Trafford ulisoma Manchester United 0-1 Atletico Madrid. Matokeo hayo yanaiondoa mazima United katika UEFA Champions League kwa jumla ya mabao 1-2 ambayo…

Read More

NYOTA ASHA WA YANGA PRINCESS KUCHEZA ULAYA

NYOTA wa kikosi cha Yanga Princes, Aisha Khamis Masaka amepata dili la kucheza soka la kulipwa katika Klabu ya BK Hacken FF ya nchini Sweden. Nyota huyo ni miongoni mwa mastaa ambao walikuwa wakifanya vema kwenye Ligi ya Wanawake Tanzania na alikuwa anaitwa Asha Magoli kutokana na uwezo wake wa kucheka na nyavu. Taarifa rasmi…

Read More

WAWILI WASHINDA MAMILIONI YA BETBONANZA

JUMLA ya washindi Wawili kutoka Vodacom na Airtel leo Jumanne asubuhi wameibuka washindi wa vitita vya Shilingi Milioni Moja kila mmoja katika droo ya kwanza ya wiki ya Bet Bonanza ya Sportpesa huku akiwataja washindi hao ni Seif Ramdshani wa Shinyanga na Nyange kutoka Tabata. Droo hiyo ni sehemu ya promosheni ya Bet Bonanza ya…

Read More

ERICKSEN AREJESHWA TIMU YA TAIFA YA DENMARK

CHRISTIAN Ericksen amejumuishwa katika orodha ya kikosi cha timu ya Taifa ya Denmark ambao watacheza mchezo dhidi ya Timu ya Taifa ya Netherlands Machi 26. Pia atakuwa katika kikosi ambacho kinatarajiwa kucheza dhidi ya Serbia wakiwa nyumbani Machi 29,2022. Kiungo huyo wa Brentford amerejeshwa kikosini mara ya kwanza tangu alipopata tatizo katika Euro 2022 katika…

Read More

YANGA WAPANIA KUBEBA UBINGWA,MSAKO WAO UPO HIVI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu zao ni kuweza kupata pointi tatu kwenye mechi zinazofuata za ligi ikiwa ni pamoja na mechi ijayo dhidi ya KMC inayotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Injinia Hersi Said amefichua siri mbili ambazo wanazitumia kusaka ubingwa msimu huu waliodhamiria huku akibainisha kuwa ni lazima wabebe taji la Ligi Kuu…

Read More

NG’OMBE WA MAYELE AWAIBUA SIMBA

MENEJA wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally amerusha kombora kwa watani zao wa jadi Yanga, baada ya mshambuliaji wao Fiston Mayele kukabidhiwa zawadi yake ya Ng’ombe. Mayele aliahidiwa zawadi hiyo baada ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Uwanja wa Manungu, Turiani, Morogoro Februari 23. Ahmed Ally…

Read More

HAWA HAPA WAITWA STARS,MKUDE,SAMATAA NDANI

LEO Machi 15,2022 Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Kim Poulsen ametangaza rasmi orodha ya wachezaji ambao wataingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kirafiki zilizo kwenye kalnda ya FIFA. Nyota hao ni pamoja na:-Aishi Manula wa Simba Metacha Mnata wa Polisi Tanzania Aboutwalib Mshery wa Yanga hawa ni kwa upande…

Read More

VIDEO:MAYELE AFUNGUKIA ISHU YA TUZO YA UFUNGAJI BORA

MSHAMBULIAJI namba moja ndani ya kikosi cha Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa anaamini anaweza kuwa mfungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2021/22. Machi 14,2022 Mayele alikabidhiwa zawadi yake ya Ng’ombe na shabiki wa Yanga wa Morogoro baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa ligi na kwa sasa tayari amekabidhiwa zawadi…

Read More

TUCHEZE MPIRA KWA AFYA,ULINZI NI MUHIMU

IMEKUWA rahisi kwa sasa matukio yote ambayo yanatokea uwanjani kuweza kuonekana baada na kabla ya mchezo hii inatokana na kukua kwa teknolojia. Weka mbali suala ka kukua kwa teknolojia bado Azam TV wanaonesha kila mechi kuweza kuonyeshwa na mashabiki wakaweza kufurahia burudani. Mzunguko wa pili umekuwa na matukio mengi ambayo yanatokea yapo mazuri hasa kwa…

Read More

SIMBA YAPANIA KUFANYA VIZURI KIMATAIFA

SALIM Abdallah,’Try Again’ Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba kuwa malengo ya timu hiyo kimataifa ni kuweza kufanya vizuri kwenye mechi ambazo watacheza. Kwenye kundi D la Kombe la Shirikisho Simba ni namba moja ikiwa na pointi 7 baada ya kucheza mechi 4 inafuatiwa na ASEC Mimosas iliyo nafasi ya pili na pointi 6…

Read More

MANCHESTER CITY HAWAAMINI MACHO YAO

VINARA wa Ligi Kuu England, Manchester City hawaamini macho yao baada ya kubanwa mbavu na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu England. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Selhurst Park ulisoma Crystal Palace 0-0 Manchester City na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Sare hiyo inawafanya City kufikisha alama 70 wakiwa nafasi ya kwanza…

Read More

PRISONS KAMILI KUIVAA BIASHARA UNITED

KIKOSI cha Tanzania Prisons, kimejiweka sawa kuelekea mchezo wao dhidi ya Biashara United utakaochezwa leo Jumanne Machi 15,2022 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara, Biashara itakuwa nyumbani kuwakaribisha maafande hao wa Magereza wanaoburuza mkia katika msimamo wa ligi hiyo. Prisons na Biashara zote zipo katika hatari ya kushuka…

Read More

YANGA WAJA NA MFUMO MPYA WA UCHAGUZI

KLABU ya Yanga kwa sasa ipo kwenye mchakato wa uchaguzi ambapo imeweka wazi kuwa kutakuwa na mfumo mpya utakaotumika katika upigaji kura. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga, Malangwe Mchungahela amesema kuwa yote hayo ni kutokana na mabadiliko ya katiba ambayo imepitishwa na wanachama. “Uchaguzi wa matawi unatakiwa kuanza Machi 18…

Read More