MORRISON:TUTASHINDA MCHEZO WETU

KIUNGO wa Simba, mchetuaji Bernard Morrison amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya USGN na watapambana ili kupata matokeo chanya. Simba inakibarua cha mwisho mkononi cha kusaka tiketi ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho ikiwa na pointi zake kibindoni 7 baada ya kucheza mechi tano. Kufungwa 3-0…

Read More

SURE BOY AWAPIGA MKWARA MABOSI ZAKE

KIUNGO wa Yanga, Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ amewachimba mkwara mabosi wake wa zamani Azam FC kwa kuwaambia kuwa atahakikisha anaipambania timu yake kupata matokeo ya ushindi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajia kupigwa Aprili 6, mwaka huu. Sure Boy ni mchezaji wa zamani wa Azam, amejiunga na Yanga katika dirisha dogo la usajili msimu…

Read More

ONYANGO AINGIA ANGA ZA WASAUZI

VIGOGO wa soka kutoka Afrika Kusini, Orlando Pirates wametajwa kuwa bado kwenye mpango wa kumsajili beki wa kati wa Simba raia wa Kenya,  kwa ajili ya Kuimarisha kikosi chao kwa msimu ujao . Onyango anatarajia kumaliza mkataba wake ndani ya Simba mwishoni mwa msimu huu, ambapo Orlando wanajipanga kutumia nafasi hiyo kumsajili kama mchezaji huru,…

Read More

YANGA YASHINDA 3-2 MAFUNZO FC,BALAMA ATUPIA

MECHI ya kirafiki imekamilika Uwanja wa Azam Complex leo Machi 30 ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mafunzo FC. Mabao yamefungwa na Mapinduzi Balama dk ya 19 Heritier Makambo dk ya 52 na lile la ushindi limefungwa na Fiston Mayele dk ya 71 kwa mkwaju wa penalti ilikuwa ni kwa upande…

Read More

NYOTA YANGA PRINCESS SAFARI ULAYA IMEIVA

MCHEZAJI wa Yanga Princess na Timu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars Asha Masaka leo Machi 30,2022 ameanza safari kuelekea Sweden. Mshambuliaji huyo anakwenda kuanza changamoto mpya za maisha katika Klabu ya BK Hacken ya nchini Sweden. Timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Sweden itakuwa na nyota huyo mzawa ambaye alikuwa ni chaguo…

Read More

MTAMBO WA MABAO YANGA HATIHATI KUIKOSA AZAM

IMEFAHAMIKA kuwa, kiungo tegemeo wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amepata majeraha yaliyomfanya aondolewe kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, hivyo kuna uwezekano mkubwa akaikosa mechi ijayo ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam itakayochezwa Aprili 6, mwaka huu. Kwa sasa Taifa Stars ipo kambini kwa ajili ya kucheza mechi za…

Read More

KIBAO KUMPONZA WILL SMITH,TUZO YAKE YAJADILIWA

LICHA ya staa mkubwa wa Hollywood, Will Smith kuomba msamaha jukwaani baada ya kumzaba kofi mchekeshaji Chris Rock, staa huyo pia ametumia akaunti yake katika mtandao wa kijamii wa Instagram kuendelea kuomba radhi, safari hii akimuomba pia radhi Rock kwa kitendo alichomfanyia. Will Smith ameandika:“Vurugu katika namna yake yoyote ni sumu na hubomoa. Tabia yangu…

Read More