>

SIMBA:TUTASHINDA MBELE YA RS BERKANE,WATANZANIA MTUOMBEE

BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari wa ajili ya mchezo wao dhidi ya RS Berkane ya Morocco unaoatarajiwa kuchezwa Jumapili na wanaamini kwamba watashinda. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco, Februari 27 inakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa hatua ya makundi wakiwa katika kundi…

Read More

AIR MANULA NI NAMBA MOJA

AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa wa Simba ni namba moja kwa makipa waliokaa langoni kwenye mechi zote 15 za mzunguko wa kwanza na kusepa na clean sheet, (cheza bila kufungwa) nyingi. Manula amekaa langoni kwenye mechi zote 15 ambazo Simba imecheza na amefungwa mabao 6 katika mechi hizo ambazo amekaa langoni. Katika mechi hizo ni…

Read More

UJANJA WA NONGA NI UWANJA WA SOKOINE

MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Mbeya City, Paul Nonga, ujanja wake wa kucheka na nyavu ni kwenye Uwanja wa Sokoine. Msimu wa 2021/22 ametupia mabao matatu ndani ya ligi kati ya 17 ambayo yamefungwa na timu hiyo baada ya kucheza mechi 15. Ameanza kikosi cha kwanza mechi 12 kati ya 15 na alitibua rekodi ya Simba…

Read More

BARCELONA WAINYOOSHA NAPOLI

WAKIWA ugenini walishuhudia ubao ukisoma Napoli 2-4 Barcelona baada ya dakika 90. Ni mabao ya Lorenzo Insigne dakika ya 23 kwa mkwaju wa penalti na Matteo Politano dakika ya 87 kwa upande wa Napoli. Ni Jordi Alba dakika ya 8,Frenkie de Jong dk 13, Gérard Pique yeye alitupia bao moja dk ya 45 na hapo…

Read More

MAKATA AFUNGASHIWA VIRAGO DODOMA JIJI

MBWANA Makata, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji yenye maskani yake Dodoma ameondoolewa katika nafasi hiyo kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo. Mchezo wa mwisho kukaa kwenye benchi ilikuwa ni Februari 20 uliochezwa Uwanja wa Azam Complex na ubao ulisoma KMC 2-0 Dodoma Jiji na kufanya wapoteze pointi tatu mazima. Ndani ya michezo mitano…

Read More

KISA WAARABU MKWANJA WAONGEZWA SIMBA

AWALI uongozi wa Simba uliwatangazia wachezaji kuwapa bonasi ya dola 100,000 (Sh mil 231) katika kila mechi watakayoshinda, lakini kutokana na ugumu wa mechi ijayo dhidi ya RS Berkane ya Morocco, matajiri wa timu hiyo wameongeza mezani dola 50,000 (Sh mil 115.5) hivyo jumla mastaa hao watavuna zaidi ya Sh mil 300. Wikiendi hii Simba…

Read More

MAYELE APEWA ZAWADI YA NG’OMBE

MMOJA wa mashabiki wa Yanga, mwenye asili ya Kimasai anayefahamika kwa jina la Mauya mkazi wa Dakawa, amemzawadia ng’ombe mzima mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele. Mayele ni mtupiaji namba moja ndani ya Yanga akiwa na mabao 7 na kinara ni Relliats Lusajo ambaye ametupia kibindoni mabao 10. Ushindi wa mabao 2-0 waliopata jana mbele ya…

Read More

LIVERPOOL YAPIGA 6-0 LEEDS UNITED

VIJANA wa Jurgen Klopp waliamua kushusha mvua za mabao mwa wapinzani wao Leeds United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England kwa kusepa na pointi tatu mazima. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Anfield ulisoma Liverpool 6-0 Leeds United. Ni Mohamed Salah alitupia mawili na yote kwa penalti dakika ya 15 na 35 huku…

Read More