>

KIIZA AWEKA REKODI YA AJABU

HAMIS Kiiza (Diego) ndiye aliyebaki kwenye kumbukumbu mbaya kwenye vitabu vya Simba baada ya kuwafungia Kagera Sugar bao 1-0 na Simba kukosa alama tatu kwenye mechi tatu mfululizo. Kiiza aliingia dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Ally Ramadhan na ilimchukua dakika 12 pekee kuweza kuweka utofauti wa matokeo kwenye mchezo huo. Kwa bao lake hilo…

Read More

MBEYA CITY HAWAPOI WATUMA UJUMBE HUU KWA VINARA WA LIGI

KOCHA Mkuu wa  Mbeya City, Mathias Lule, ameitahadharisha Yanga, kuwa isitarajie kupata mteremko katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, watakapokutana Februari 5 kwenye Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam. Mbeya City, wapo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 22 kibindoni  huku wakiwa  wameshuka uwanjani mara 13 wakiwa…

Read More

KOCHA YANGA ANAFIKIRIA KUHUSU TAJI LA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema ushindi wa bao 1-0 walioupata dhidi ya Mbao FC kwenye Uwanja wa CCM Kirumba ni hatua nzuri kuwania Kombe la Shirikisho la Azam ambalo msimu uliopita walipoteza katika mchezo wa fainali. Taji hilo lipo mikononi mwa Simba inayonolewa na Pablo Franco nayo imetinga hatua ya 16 bora kwa…

Read More

SPORTPESA YAZINDUA MULTIBET BONUS YA KIBABE

KAMPUNI ya michezo na burudani Sportpesa inayo furaha kutambulisha kwa Watanzania, huduma yake mpya ya Multibet Bonus kwa wachezaji wake wote nchini. Bidhaa hii ni ya kwanza na ya kipekee kwa wachezaji wao kutokana na kiwango cha asilimia ambacho mteja atakuwa anakipata baada ya kuweka ubashiri wake kwa mechi kuanzia 3. Sportpesa imefungua mwaka kwa…

Read More

KOCHA ALIYEINOA SIMBA APEWA TUZO MOROCCO

SVEN Vandenbroec,  Kocha Mkuu wa Klabu ya FAR Rabat ya Morocco amefanikiwa kutwaa tuzo ya kocha bora wa Ligi Kuu ya Morocco msimu wa 2020/21. Sven aliwahi kuwa kocha wa Simba ya Tanzania na aliongoza timu hiyo kwa mafanikio makubwa kwa kipindi cha mwaka mmoja aliachana na Simba, Januari 6,2021. Aliweza kuifikisha timu hiyo katika…

Read More

MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAZUIA USAJILI WA NYOTA WA KIGENI

KOCHA Mkuu wa Yanga, raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, amenogewa na ubora wa wachezaji wazawa aliowasajili katika dirisha dogo huku akipanga kusimamisha usajili wa nyota wa kigeni katika msimu ujao. Baadhi ya wachezaji wazawa waliosajiliwa katika dirisha dogo ni Aboutwalib Mshery, Denis Nkane, Chrispin Ngushi na Salum Aboubakari ‘Sure Boy’. Wachezaji hao wote wamesajiliwa kwa…

Read More

MISRI YATINGA NUSU FAINALI AFCON 2021

LICHA ya kuwa nyuma jana mbele ya Morocco kwa bao lililofungwa dakika ya 6 na Soufiane Boufal Misri iliweza kupindua meza na kuibuka na ushindi. Baada ya dakika 90 kukamilika Misri iliweza kushinda mabao 2-1 na kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe Afcon 2021. Ni Mohamed Salah aliweza kusawazisha dakika ya 56 kisha mchezo…

Read More