SIMBA QUEENS YAPETA MBELE YA MLANDIZI QUEENS

UWANJA wa Bunju Complex, Simba Queens imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mlandizi Queens. Oppa Clement ametupia mawili na moja alitupia kwa penalti na bao jingine lilitupiwa na Laiya Barakat. Pongezi kubwa kwa kipa namba moja wa Mlandizi Queens ambaye alikuea ni mikono mia. Noaely Marakuti alikuwa imara langoni ndani ya dakika 90…

Read More

SIMBA YAIVUTIA KASI DAR CITY

KIKOSI cha Simba leo kimefanya mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Dar City. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Januari 30 na mshindi atasonga hatua ya 16 bora Katika mchezo wa hatua ya 32 bora yule atakayepoteza mchezo safari yake inafika ukingoni jumlajumla. Ikumbukwe kwamba Simba ni…

Read More

SIMBA QUEENS KAZINI LEO DHIDI YA MLANDIZI QUEENS

LEO Januari 28,2022 Simba Queens inakibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mlandizi Queens. Ni mchezo wa Ligi ya Wanawake ambayo inaendelea na unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni. Simba Queens ni mabingwa watetezi wanakutana na Mlandizi Queens ambayo itawakosa baadhi ya nyota wao ambao wamejiunga na timu ya taifa U 20. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa katika…

Read More

HAWA HAPA WAKALI WA KUCHEKA NA NYAVU SIMBA

LICHA ya Klabu ya Simba kuanza vibaya msimu huu wa NBC Premier League, mshambuliaji wa klabu hiyo Meddie Kagere ameendelea kuweka rekodi zake ngumu ndani ya kikosi hicho kwa kufunga magoli mengi msimu huu. Klabu ya Simba mpaka sasa wamecheza jumla ya michezo 13 ya NBC Premier League , katika michezo hiyo Meddie Kagere amefunga…

Read More