YANGA YAMSAJILI BEKI KISIKI WA KMKM ??????? ?????
OFFICIAL: Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mlinzi wa kati Ibrahim Bacca akitokea KMKM ya Zanzibar.
OFFICIAL: Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mlinzi wa kati Ibrahim Bacca akitokea KMKM ya Zanzibar.
RASMI sasa Clatous Chama ni mali ya Simba akitokea Klabu ya RS Berkane ambapo alikuwa huko akikipiga. Aliibuka msimu wa 2021/22 akitokea Simba lakini kwenye mkataba wake mpya kulikuwa na suala la kurejea ndani ya timu hiyo ikiwa kutakuwa na makubaliano ya pande zote mbili. Unakuwa ni usajili wa kwanza kutangazwa rasmi na Simba katika…
Mashindano ya AFCON yanaendelea kushika kasi viwanjani. Kule barani Ulaya, EPL na Serie A nako mambo ni moto. Wikiendi hii, mchongo wa Odds Bora upo hivi; Ijumaa hii, Gabon watachuana na Ghana katika mchezo wa pili hatua ya makundi kunako AFCON. Huku Pierre-Emerick Aubameyang, kule ni Saidio Mane. Mdhamini shujaa wako kwa Odds ya…
KLABU ya Yanga imemtambulisha rasmi nyota Ibrahim Bacca kuwa ni njano na kijani kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu wa 2021/22. Nyota huyo wa zamani wa KMKM,Malindi na Taifa Jang’ombe sasa atakuwa ndani ya Ligi Kuu Bara chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Anaungana na Salim Aboubakhari, ‘Sure Boy’,Dennis Nkane,Aboutwalib Mshery ambao ni nyota…
KIKOSI cha Geita Gold kimeshatia timu makao makuu ya nchi Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Januari 15 Uwanja wa Jamhuri Dodoma. Geita Gold ni miongoni mwa timu ambazo zimepanda ligi msimu huu na imeweza kufanya usajili wa nyota…
MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa