
MASHABIKI WAITWA,DR CONGO WAANZA KUJA KWA MAFUNGU
WILFRED Kidao Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF ) amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo dhidi ya DR Congo yapo vizuri na wanaamini kwamba watafanya vizuri katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia. Novemba 11,2021, Stars ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya DR Congo katika mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapaa saa…