Home Sports KIKOSI BORA CHA LIGI YA WANAUME

KIKOSI BORA CHA LIGI YA WANAUME

Utoaji wa tuzo umefanyika Oktoba 21 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere uliopo Posta, Dar es salaam.Tuzo hizo ziligawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni ligi kuu, Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama FA na Ligi ya Wanawake.

Kikosi bora cha Ligi ya Wanaume

1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Joash Onyango
5. Dickson Job
6. Mukoko Tonombe
7. Clatous Chama
8. Feisal Salum
9 . John Bocco

10. Prince Dube
11. Luis Miquissone.

 

Next articleFEI TOTO ATOA SIRI YA MABAO YA KIDEONI