MSHAHARA WA FEISAL SALUM UNATAJWA KUWA TISHIO

MSHAHARA wa kiungo wa Tanzania ambaye anacheza ndani ya kikosi cha Azam FC kinachotumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi za nyumbani unatajwa kuwa tishio kutokana na ukubwa wake na thamani ya kiungo huyo mzawa. Ilikuwa inatajwa kuwa Yanga SC na Simba SC zilikuwa kwenye hesabu za kuwania saini ya kiungo huyo. Simba SC walikuwa…

Read More

MERIDIANBET WASAIDIA MAMA NTILIE WA MWENGE

Katika dunia ya leo inayohitaji mshikamano wa kijamii na mshikamano wa kiuchumi, kampuni ya Meridianbet imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kweli ya kusaidia jamii kwa vitendo. Kwa mara nyingine tena, Meridianbet imejitokeza kuwa bega kwa bega na wanawake wa Kitanzania kupitia zoezi la ugawaji wa aprons kwa mama ntilie maeneo ya Mwenge. Meridianbet siku zote…

Read More

HUYU HAPA KUULIZWA IKIWA SIMBA SC ITABUMA MSIMU MPYA

KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26 ni Fadlu Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC ameachiwa msala kwenye suala la usajili baada ya kupewa jukumu hilo kuhakikisha kwamba kila kitu anasimamia mwenyewe. Simba SC imeweka kambi Misri kwa maandalizi ya msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa huku wakifanya usajili wa wachezaji wapya ikiwa ni Jonathan Sowah…

Read More

AZAM YAMSAJILI EDWARD MANYAMA KWA MKATABA WA MWAKA MMOJA

Klabu ya Azam FC imethibitisha kumsajili beki wa kati Edward Charles Manyama kwa mkataba wa mwaka mmoja, utakaomuweka ndani ya kikosi hicho hadi mwaka 2026. Manyama (31), raia wa Tanzania, ana historia ya kuchezea vilabu mbalimbali vya Ligi Kuu Tanzania Bara, vikiwemo Namungo FC, Azam FC, Ruvu Shooting na Singida Black Stars. Anarejea kwa Wanalambalamba…

Read More

TANDIKA JAMVI NA MECHI ZA KUFUZU UEFA HAPA

Odds kubwa na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa Meridianbet kwenye mechi za kufuzu Uefa. Bahati ipo mkononi mwako leo hivyo changamka kusuka jamvi lako la ushindi siku ya leo. Leo hii katika dimba la Ulker Stadyumu, Fenerbahce atamleta nyumbani kwake Feyenoord ya kule Uholanzi kusaka ushindi baada ya kupoteza mechi ya kwanza. Mwenyeji anataka…

Read More

DILI la MZIZE LIPO HIVI: SALEH JEMBE AFICHUA TATIZO LILIPO – AWAAMBIA YANGA – ”ANATAFUTA MAISHA”..

Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe, amesema kuwa ubora wa klabu kongwe za Simba SC na Yanga SC umechangia kwa kiasi kikubwa kuimarika kwa kiwango cha Timu ya Taifa, Taifa Stars. Akizungumza kuhusu mashindano ya CHAN, Jembe alisema Stars imeanza vizuri na anaamini itaendelea na mwenendo huo hadi mwisho. “Ubora wa wachezaji wanaocheza Simba…

Read More

MBIO ZA KUMPATA BINGWA WA LALIGA KUANZA 15 AUGUST

Je unajua kuwa zimebakia siku 4 pekee za kuanza kumsaka bingwa wa Laliga Hispania?. Basi anza safari yako ya ushindi ukiwa na wakali wa ubashiri Tanzania tengeneza jamvi lako la kuchagua mshindi wako unayeona atanyakua taji hilo mwisho wa msimu. Real Madrid ndio ambao wanapewa nafasi ya kwanza kabisa kuchukua taji hili wakiwa na wa…

Read More

SIMBA SC BADO IPO SOKONI

SIMBA SC bado ipo sokoni kusaka wachezaji wapya kuelekea msimu mpya wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kikosi cha Simba SC kwa sasa kipo Misri kwa maandalizi ya msimu mpya ambapo inaelezwa kuwa huenda Joshua Mutale akaachwa kuelekea msimu mpya kupisha nafasi ya mchezaji mpya. Mbali na Mutale, Leonel Ateba naye yupo kwenye hesabu…

Read More