SIMBA YATANGAZA VIINGILIO VYA FAINALI YA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA NA KUZINDUA HAMASA KWA MASHABIKI

“Tunataka kufanya fainali yenye hadhi ya juu mno, na hayo ni mambo ambayo sisi tunayamudu. Ndugu zangu fainali ndio hatua ya juu kabisa ya mashindano. Kuelekea katika mchezo huu tunatangaza viingilio na tutakaporudi kutoka Morocco tutazindua hamasa. Napenda kuwasihi Wanasimba kununua tiketi mapema. Mwakani tutacheza tena fainali lakini haitakuwa kama hii ambayo tumeisubiri kwa miaka…

Read More

ORODHA YA VINARA KWENYE UTUPIAJI LIGI KUU BARA

KAZI bado inaendelea ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora kwa kila timu kupambania kufikia malengo kukamilisha mzunguko wa pili 2024/25. Katika eneo la ushambuliaji kuna orodha ya mastaa ambao ni wakali kwenye eneo la kucheka na nyavu waliopo kwenye vita ya kuwania tuzo ya kiatu cha ufungaji bora. Hapa…

Read More

MERIDIANBET YAWAPELEKA WACHEZAJI KWENYE DUNIA YA MIUNGU KUPITIA MCHEZO MPYA – GATES OF OLIMPIA

Wapenzi wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa…

Read More