
SIMBA YATANGAZA VIINGILIO VYA FAINALI YA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA NA KUZINDUA HAMASA KWA MASHABIKI
“Tunataka kufanya fainali yenye hadhi ya juu mno, na hayo ni mambo ambayo sisi tunayamudu. Ndugu zangu fainali ndio hatua ya juu kabisa ya mashindano. Kuelekea katika mchezo huu tunatangaza viingilio na tutakaporudi kutoka Morocco tutazindua hamasa. Napenda kuwasihi Wanasimba kununua tiketi mapema. Mwakani tutacheza tena fainali lakini haitakuwa kama hii ambayo tumeisubiri kwa miaka…