
VIGOGO 8 WATINGA ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA LA VILABU NCHINI MAREKANI
Michuano ya kihistoria ya Kombe la Dunia la Vilabu la FIFA inayoendelea nchini Marekani imeingia katika hatua ya robo fainali huku timu nane bora zikibainika baada ya mechi kali na ushindani wa kiwango cha juu. Timu hizo, ambazo zimeonyesha ubora wa hali ya juu kutoka mabara mbalimbali, sasa zitachuana kuwania tiketi ya nusu fainali katika…