SHINDA SAMSUNG A25 KWA KUSHIRIKI SUPER HELI

Meridianbet inakuletea shindano la kuvutia ambapo unaweza kujishindia simu mpya ya Samsung A25 kwa kucheza mchezo wa kusisimua wa Super Heli. Kuanzia tarehe 1 Juni hadi 30 Juni, washindi wawili kila Jumatatu watajinyakulia simu mpya kwa kushiriki kwenye huu mchezo wa kasino ya mtandaoni. Super Heli si tu burudani ya kipekee, bali pia ni njia…

Read More

TAARIFA ZA UJANJA UJANJA KUMONDOA RAIS WALLACE KARIA ZIACHWE

Tayari kuna taarifa kadhaa kutoka katika vyombo mbalimbali nje ya Tanzania kwamba kuna UJANJA unafanywa kwa ajili ya kumuondoa madarakani Wallace Karia. Inaelezwa eti Serikali ndio imeamua. Wajanja wanataka kutumia mwanya wa njia ya MKATO kuwaingiza wawatakao madarakani kwa faida ya mfanyabiashara MMOJA TU. Serikali haiwezi KUINGILIA MASUALA YA SOKA na hakuna kokote inaonyesha TFF…

Read More

MERIDIANBET FOUNDATION YAADHIMISHA MIAKA MITANO YA MSAADA WA MASOMO NA UKUAJI WA TEKNOLOJIA

Meridianbet Foundation, taasisi ya kijamii chini ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), imeadhimisha miaka mitano ya mpango wake wa kimataifa wa kutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi katika masoko 17 duniani. Mpango huu umejikita katika kuimarisha elimu na kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa kisasa katika nyanja za teknolojia na dijitali. Zaidi ya msaada wa kifedha,…

Read More