KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Fountain Gate dhidi ya Yanga, uongozi wa Fountain Gate umeweka wazi kuwa wanaimani kubwa kupata matokeo huku wapinzani wao Yanga wakiwa hawana nafasi yakufunga hata bao kwenye mchezo huo ni kupitia Ofisa Habari wa Fountain Gate, Issa Mbuzi.
Curacao's players pose for a team photo before the start of the World Cup qualifier football match between Jamaica and Curacao at the National Stadium in Kingston, Jamaica on November 18, 2025. (Photo by Ricardo Makyn / AFP) (Photo by RICARDO MAKYN/AFP via Getty Images)