
KITAWAKA LEO NGAO YA JAMII KATI YA MAN CITY DHIDI YA MABINGWA WA KOMBE LA FA, MAN UNITED
Pazia la Ligi Kuu England linafunguliwa rasmi leo Agosti 10, 2024 kwa mchezo mmoja wa Ngao ya Jamii kati ya Mabingwa wa Ligi Kuu England, Man City dhidi ya Mabingwa wa kombe la FA, Man United kwenye Manchester ‘Derby’ Timu hizi zitakutana takribani miezi miwili na nusu tangu fainali ya kombe la FA ambapo Manchester…