
BEKI WA SIMBA ANAFIKIRIA KUFUNGA ZAIDI
BEKI wa Simba, Che Malone ana hasira na nyavu kutokana na kupania kuendelea kufunga pale anapopata nafasi ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba beki huyo anashikilia rekodi ya kuwa nyota wa kwanza kufunga ndani ya ligi kwa upande wa Simba ilikuwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika…