YANGA NDANI YA JIJI LA DAR
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga a kimataifa Yanga wapo ndani ya ardhi ya Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya mechi zao zinazofuata kimataifa na kitaifa. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi imetinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na pointi 8 kibindoni. Mchezo wao wa mwisho hatua ya makundi ilipoteza pointi…