BLAZING HEAT KASINO YA MATUNDA

Upungufu wa vitamin C mwilini husababishwa na kutokula matunda kwa wingi na mboga za majani, kuliona hilo Meridianbet wamekuja na mchezo wa matunda-Blazing Heat utakaongeza vitamin ya maisha yako kutokana na maokoto mengi. Blazing Heat ni mchezo wa sloti wa kasino ya mtandaoni uliotengenezwa na mtayarishaji Redstone. Hakuna cha kushangaza sana katika mchezo huu wa…

Read More

DUBE ANASEPA AZAM FC KUIBUKIA MITAA YA KARIAKOO

MUUAJI anayetabasamu Prince Dube ameomba kuondoka ndani ya kikosi cha Azam FC baada ya kuandika barua ya kuomba kuvunja mkataba wake. Dube ambaye amekuwa akiwatesa wababe wa Kariakoo hasa Simba amekuwa na zali la kuwafunga kila anapokutana nao kwenye mechi za ushindani amekuwa akitajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo kati ya Simba na…

Read More

Ijue Safari ya Arteta Ndani ya Arsenal

Klabu ya Arsenal baada ya kuwa na mapito mbalimbali ya kutokuwa na nafasi nzuri ndani ya EPL hataimaye waliamua kumsajili aliyekuwa mchezaji wao Mikel Arteta ambaye mpaka sasa anakionoa kikosi hicho. Na haya hapa ndiyo mafanikio yake. Mikel Arteta alizaliwa 1982 mwezi Machi Hispania ambapo alicheza katika vilabu mbalimbali wakati akiwa kijana. Alicheza vilabu kama…

Read More

NAMNA MWAMBA PACOME ALIVYOWAVURUGA WAARABU

MWAMBA Pacome Zouzoa kiungo wa Yanga aliwavuruga Waarabu wa Algeria CR Belouizdad kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa Uwanja wa Mkapa kutokana na kasi yake na pasi za uhakika akitumia zaidi mguu wake wa kulia. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 4-0 CR Belouizdad katika mchezo…

Read More

TIMU ZILIZOPO HATUA YA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

SHIRIKISHO la mpira barani Afrika limetangaza kuwa litapanga hivi karibuni siku maalumu kwaajili ya kupangwa kwa tarehe maalum ya kufanyika droo ya kupata timu ambazo zitafanikiwa kukutana kwenye robo fainali. Tanzania imefanikiwa kuingiza timu mbili ambazo zimefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali. Timu nyingine ni pamoja na Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini, Esparence Tunis ya…

Read More

Kwapua Mpunga wa Jumapili na Meridianbet Leo]

  Mimi nakwambia kuwa anza Jumapili yako kwa kubashiri na meridianbet ambapo leo hii ligi mbalimbali zinaendelea na wewe una nafasi ya kupiga mkwanja wa maana kwa kubashiri kwa usahihi mechi zako. SERIE A, kitawaka sana leo ambapo Frosinone atakipiga dhidi ya US Lecce huku timu zote zikiwa zimetoka kupoteza mechi zao zilizopita. 2.30 kwa…

Read More

MTIBWA SUGAR WAIVURUGIA SINGIDA FOUNTAIN GATE

MTIBWA Sugar wamesepa na point8 tatu mazima dhidi ya Singida Fountain Gate, ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Singida Fountain Gate 0-2 Mtibwa Sugar. Ushindi wa Mtibwa Sugar umevuruga mipango ya Singida Fountain Gate kukomba pointi tatu kwenye mchezo huo. Abdul Hilary dakika ya 70 kwa mkwaju wa penàlti na Omary Marungu dakika ya…

Read More

MILIONI TANO YAPATA MWENYEWE MERIDIANBET

Bashiri na kitochi au bashiri bila bando na Meridianbet ikifahamika kama USSD leo imefanikiwa kutoa mshindi ambaye amejishindia mzigo wa kutosha ambapo mshindi amejipigia kiasi cha shilingi 5,982,539.  Inafahamika kua Meridianbet inatoa fursa kwa wateja wake kubashiri kwa bando kwa maana ya kwenye tovuti yao lakini pia unaweza kubashiri bila bando na ndio USSD ambapo…

Read More