Mashetani Wekundu wamepasuka kwenye derby ya jiji la Manchester katika dimba la Etihad.
FT: Man City 3-1 Man United
⚽ Foden 56’
⚽ Foden 80’
⚽ Haaland 90+1’
⚽ Rashford 8’
👉Man City imesogea mpaka alama moja nyuma ya kinara Liverpool wakisalia nafasi ya pili alama 62 baada ya mechi 27.
👉Man United wanasalia nafasi ya sita alama 44 baada ya mechi 27.
👉Erling Haaland amefikisha magoli 18 akiwa kileleni mwa msimamo wa ufungaji bora magoli mawili mbele ya Mohammed Salah.