
AMEIPATA MITAMBO YA KAZI MWAMBA FADLU NDANI YA SIMBA
AMEIPATA mitambo ya kazi ndani ya kikosi cha Simba Kocha Mkuu, Fadlu Davids ambao hao amekuwa akiwatumia kwenye mechi za ushindani ndani ya uwanja 2024/25
AMEIPATA mitambo ya kazi ndani ya kikosi cha Simba Kocha Mkuu, Fadlu Davids ambao hao amekuwa akiwatumia kwenye mechi za ushindani ndani ya uwanja 2024/25
MWENDO wa msako wa ushindi ndani ya uwanja kwenye mechi za Ligi Kuu Bara unatarajiwa kuendelea leo Septemba 27 kwa mchezo mmoja kuchezwa Uwanja wa Tanzanite na utarushwa mubashara Azam TV hivyo kama utashindwa kwenda uwanjani ni muda wako kukaa kwenye kideo kutazama mubashara. Ikumbukwe kwamba Septemba 26 2024 dunia ilishuhudia Mzizma Dabi Uwanja wa…
FT;Azam FC 0-2 Simba Fabrince Ngoma goal dakika ya 47 Leonel Ateba goal dakika ya 13 ndani ya 18 Kiungo Idd Nado alikutwa kwenye mtego wa kuotea dakika ya 25 huku mwamba Feisal Salum jaribio lake la dakika ya 29 likigonga mwamba na kurejea uwanjani. Mzizima Dabi ni balaa zito Uwanja wa New Amaan…
WAKATI ikiwa ni saa chache zimesalia kabla ya ulimwengu wa mpira kushuhudia Mzizima Dabi Uwanja wa New Amaan Complex, pilato wa mchezo huo weka mbali na watoto kutokana na misimamo yake akiwa kwenye majukumu yake. Azam FC itawakaribisha Simba kwenye mchezo wa kwanza msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar….
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa wapinzani wao Azam FC ndani ya Ligi Kuu Bara hawawezi kuwatisha kwa kuwa wao wenyewe wanaogopesha Afrika. Ipo wazi kwamba Simba ndani ya ligi ni mechi mbili imecheza ikishinda mechi zote ndani ya dakika 180 msimu wa 2024/25 ikiwa imekusanya jumla ya pointi sita kibindoni. Azam FC ni mechi nne…
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea baada ya Septemba 25 2024 mabingwa watetezi wa ligi Yanga kusepa na pointi tatu ugenini dhidi ya Ken Gold, mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo huo lilifungwa na Ibrahim Bacca beki wa kazi akitumia pasi ya Aziz Ki ambaye kwenye mechi mbili mfululizo ametoa…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao kwenye mchezo wao wa Mzizima Dabi ambao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Simba imecheza mechi mbili ndani ya Ligi Kuu Bara ambazo ni dakika 180 na kupata ushindi kwenye mechi zote hizo huku Azam FC ikicheza mechi nne ambazo ni dakika…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya na kikubwa ni pointi tatu muhimu wanahitaji. Mchezo huo ni wa pili kwa Yanga ambao ni mabingwa watetezi ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar ulichezwa…
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa kwanza msimu wa 2024/25 ambapo kila timu zipo tayari kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Vinara ni Singida Black Stars baada ya kucheza mechi nne wamekomba pointi zote 12 huku nafasi ya pili ikiwa ni Fountain Gate yenye pointi 10, Ken Gold ambayo itakuwa kazini leo…
MATAJIRI wa Dar, Azam FC moto hauzimi baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wao wa kwanza dhidi ya KMC Uwanja wa KMC Mwenge kasi yao imeendelea kwa mara nyingine mbele ya Coastal Union ya Tanga. Azam FC ilicheza mechi mbili mfululizo bila kupata ushindi ilikuwa JKT Tanzania 0-0 Azam FC, Azam FC 0-0 Pamba Jiji…
WINGA raia wa DR Congo Ellie Mpanzu rasmi amemalizana na Simba kwa kusaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo ambayo inanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ikumbukwe kwamba Septemba 22 Mpanzu alikuwa Uwanja wa Mkapa kushuhudia timu hiyo ikicheza mchezo wa raundi ya pili Kombe la Shirikisho kusaka mshindi wa kutinga hatua ya makundi…
NYOTA wa Simba kiungo Edwin Balua aliyewazima wapinzani wao kwenye anga la kimataifa jioni amefichua alichoambiwa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kabla ya kuingia kwenye mchezo huo. Septemba 22 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 3-1 Al Ahli Tripoli huku mabao ya Simba yakifungwa na Kibu Denns dakika ya…
LEGEND kwenye ulimwengu wa Habari za Michezo Bongo, Saleh Ally Jembe ameweka wazi kuwa beki chipukizi kutoka Rwanda ambaye anacheza ndani ya kikosi cha Al Ahli Tripoli ni mchezaji wa Hovyo kutokana na vitendo vyake kutokuwa vya kiungwana. Ikumbukwe kwamba Al Ahli Tripoli imefungashiwa virago na Simba ya Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe…
KWENYE usajili huwa kunakuwa na vita kubwa ambapo wapo wachezaji waliokuwa wakitakiwa na Simba mwisho wakaibukia Yanga na wapo wachezaji waliokuwa wakitakiwa na Yanga mwisho wakaibukia Yanga wanasema hivyo mwenye kisu kikali atakula nyama. Hawa ni baadhi kwa hivi karibuni.
USHINDI wa mabao 3-1 waliopata Simba mbele ya Al Ahli Tripoli unawapa tiketi ya kutinga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika wakikomba milioni 15 za goli la mama. Al Ahli Tripoli walianza kupachika bao dakika ya 16 kupitia kwa Cristovao Mabululu ambaye alionyeshwa kadi nyekundu dakika ya 90 Simba mabao yamefungwa na Kibu Dennis…
WAPINZANI wa Yanga kimataifa, CBE SA ya Ethiopia wameipa Yanga jumla ya milioni 35 kwa kufungwa jumla ya mabao 7-0 ndani ya dakika 180 katika anga la kimataifa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Rekodi imeandikwa Septemba 21 2024 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi kutinga hatua ya makundi kwa ushindi wa mabao 6-0 CBE…
FT: UWANJA WA MKAPA Simba 3-1 Al Ahli Tripoli Cristovao Mabululu dakika ya 17 Simba mabao yamefungwa na Kibu Dennis dakika ya 36. Ateba dakika ya 45 bao la dakika ya 63 limefutwa kwa kile kilichoelezwa kuwa mfungaji alikuwa eneo la kuotea. Bao la tatu limefungwa na Edwin Balua dakikaya 89 ikiwa ni tiketi ya…