AZAM FC WAMEANZA NAMNA HII NA BENCHI JIPYA

BENCHI jipya la ufundi la Azam FC mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu Bara limeshuhudia wakigawana pointi mojamoja dhidi ya wapinzai wao Pamba Jiji katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Septemba 14 2024. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza wa ligi msimu wa 2024/25 ilikuwa JKT Tanzania 0-0 Azam FC wakati huo timu ilikuwa…

Read More

YANGA YASHINDA UGENINI, TATIZO LIPO HAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga karata yao ya kwanza katika hatua ya pili wameibuka na ushindi ugenini kwenye mchezo wao uliochezwa Ethiopia. Licha ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwa kushuhudia ubao ukisoma CBE SA ya Ethiopia 0-1 Yanga bado kuna kazi kubwa ambayo benchi la ufundi litakwenda…

Read More

YANGA KUWAKABILI WAETHIOPIA KIMKAKATI

WAWAKILISHI wa Tanzania Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika watakuwa na kazi ya kuwakabili wapinzani wao CBE SA ya Ethiopia leo Septemba 14 2024 huku wakipiga hesabu kuwakabili kimkakati kupata ushindi katika mchezo huo. Ipo wazi kwamba katika timu mbili ambazo zilianzia hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika ni Yanga imesonga mbele baada ya…

Read More

SIMBA BADO KUNA TATIZO LA ULINZI LIFANYIWE KAZI

SAFU ya ulinzi ya Simba inayoongozwa na Che Malone bado ni tatizo kutokana na kufanya makosa ya mara kwa mara katika eneo la 18 jambo ambalo litawagharimu wasipolifanyia kazi. Kumbuka kwamba katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara wakitumia dakika 180 safu ya Simba haikufungwa lakini walikutana na timu ambazo hazikufanya mashambulizi mara nyingi zaidi…

Read More

YANGA KAZINI KIMATAIFA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Yanga kesho Septemba 14 2024 wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya CBE SA ya Ethiopia. Septemba 12 2024 msafara wa Yanga uliwasili salama nchini Ethiopia kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Miguel Gamondi,…

Read More

FOUNTAIN GATE HAWATAKI UTANI HESABU NDEFU

UONGOZI wa Fountain Gate umeweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi zao zote ambazo watacheza kutokana na kuwa na kikosi bora. Mechi mbili mfululizo Fountain Gate imekomba pointi tatu ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Namungo ugenini na mchezo dhidi ya Ken Gold wakiwa nyumbani. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Majaliwa ilikuwa…

Read More

BUNDESLIGA, LA LIGA, LIGUE 1 KUKUPA MKWANJA LEO

Ligi kuu ya soka nchini Hispania, Ujerumani, na Ufaransa leo zitaanza kupigwa rasmi baada ya kupisha michezo ya kimataifa  wiki kadhaa zilizopita kupitia Meridianbet unaweza kushinda mamilioni kupitia michezo hii.   Klabu ya Borussia Dortmund, Real Betis, pamoja na klabu ya Lille watakua na vibarua leo katika michezo ya ligi zao, Ambapo michezo yote imepewa…

Read More

IVERPOOL YAANZA LIGI KWA NAMNA YA TOFAUTI

Ligi mbalimbali barani ulaya zimerejea kwa kishindo na klabu ambayo imeonekana kuanza msimu kibabe tofauti na ilivyotarajiwa ni klabu ya Liverpool, Ambapo klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kushinda michezo yake mitatu mpaka sasa.    Liverpool haikudhaniwa kuanza msimu vizuri kwani waliondokewa na kocha wa Jurgen Klopp wengi wakiamini inaweza kuwachukua muda kujipata, Lakini imekua tofauti…

Read More

SIMBA YAKIRI WAPINZANI WAO KIMATAIFA SIO WANYONGE

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika sio wanyonge hivyo watawakabili kwa tahadhari kupata matokeo chanya kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Septemba 15 2024 nchini Libya. Tayari msafara wa Simba umeanza safari kuwafuata wapinzani wao ambapo Septemba 11 mapema kikosi kilikwea pipa kutoka Bongo na kuweka kambi Uturuki na mapema…

Read More