
YANGA KAZINI LEO UGENINI MBELE YA COASTAL UNION
YANGA kwenye kibarua kizito leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha kusaka pointi tatu muhimu dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Ipo wazi kwamba Yanga baada ya kucheza mechi 6 mfululizo haijapoteza wala kufungwa na ilicheza Kariakoo Dabi Oktoba 19 ubao wa Uwanja wa Mkapa ukasoma Simba 0-1 Yanga na mchezo uliopita ilikuwa Uwanja wa…