MTAMBO WA MABAO YANGA CAF KAMILI GADO
MTAMBO wa mabao ndani ya Yanga kwenye anga za kimataifa Pacome ni miongoni mwa wale ambao wapo kwenye kikosi kilicho tayari kupambania nembo ya timu Aprili 5 2024 mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns