KIUNGO WA KAZI CHELSEA KUSEPA BURE

KIUNGO wa klabu ya Chelsea Ngolo Kante ameripotiwa huenda akaondoka klabuni hapo bure kabisa mwishoni mwa msimu ujao kutokana na kumalizika kwa mkataba wake na kutokuwepo kwa maendeleo yoyote kwenye mazungumzo ya mkataba mpya. Kwa mujibu wa mwandishi maarufu wa Habari za michezo Fabrizio Romano amebainisha kuwa upo uwezekano mkubwa wa kiungo huyo raia wa Ufaransa…

Read More

FEISAL SALUM ANA BALAA HUYO

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ana balaa huyo ndani ya uwanja kutokana na kasi yake kwenye kutimiza majukumu yake akiwa kwenye viunga vya Azam Complex msimu wa 2023/24 akiwa ni mzawa namba moja kwenye upande wa utupiaji mabao akiwa nayo 12 anafuatiwa na Aziz KI mwenye mabao 11 yupo zake ndani ya Yanga.

Read More

PUMZIKA KWA AMANI DAMIANO KOLA MZAZI WA RODGERS WA AZAM

JANA Juni 12,2022 ilikuwa ni safari ya mwisho duniani ya baba mzazi wa mashambuliaji wa Azam FC, Rodgers Kola aitwaye Damiano Kola Senior. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu, mahala pema peponi. Amen. Taarifa ya kutangulia kwa haki kwa mzazi huyo wa Kola ilitolewa na Azam FC Juni 10,2022. Msimu huu mshambuliaji huyo amekuwa kwenye ubora wake…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIFI Y WYDAD

KIKOSI cha Simba dhidi ya Wydad Casablanca mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua  kipo namna hii:- Ally Salim ameanza langoni, Shomari Kapombe, Henock Inonga, Joash Onyango, Mohamed Hussein amevaa kitambaa cha unahodha. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute katika eneo la kiungo mkabaji. Kibu Dennis,Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama upande wa viungo washambuliaji na Jean…

Read More

MTU TATU NDANI YA SIMBA, KULA CHUMA

MTU tatu kwa mpigo zimetambulishwa ndani ya Simba rasmi baada ya kusaini dili jipya kuwa kwenye familia ya Msimbazi. Ni leo Julai 20 watatu wametangazwa kwa ajili ya kuwa ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Roberto Oliveira. Ni kiungo Idd Chilunda ambaye alikuwa ndani ya Azam FC lakini hakuongezewa mkataba wake kwa sasa…

Read More

KOCHA YANGA ATAMBULISHWA KWENYE TIMU MPYA

NI rasmi Nasreddine Nabi (57) aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ametangazwa kuwa kocha wa mabingwa wa Morocco AS FAR Rabat. Ni mkataba wa miaka miwili amesaini kwa ajili ya kuwatumikia mabingwa hao wa Morocco. Nasreddine Nabi ambaye ni raia huyo wa Tunisia alitangazwa kuachana rasmi na Yanga mwishoni mwa msimu wa 2022/23 ambapo alikuwa…

Read More

UKUTA WA SIMBA PASUA KICHWA

KATIKA mechi tano mfululizo walizocheza Simba hawajaambulia clean sheet, (kucheza bila kuruhusu bao) zaidi ya kutunguliwa mabao sita. Makosa yapo katika eneo la kiungo anapocheza Mzamiru Yassin, Fabricne Ngoma, beki anapocheza Henock Inonga, Che Malone, mlinda mlango Ally Salim, Ayoub Lakred. Ni Ally Salim kosa lake kubwa ni katika kupangua mipira langoni mwake mingi inaishia…

Read More

YANGA KAZINI KESHO KIMATAIFA

JUMAPILI Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Real Bamako ikiwa ni mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga imetoka kupata ushindi wa mabao3-1 dhidi ya TP Mazembe kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Cedrick Kaze, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho na wana imani…

Read More