HUZUNI INATOSHA KIMATAIFA, KICHEKO KIPATIKANE

HUZUNI kwa mashabiki kushindwa kupata kicheko kwenye mechi za kimataifa inapaswa kuondolewa na wachezaji uwanjani. Hali haijawa nzuri kwenye mechi za kimataifa ambapo ni timu mbili kutoka ardhi ya Tanzania zinafanya kazi yake. Yanga na Simba katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Kila timu ikiwa imecheza mechi mbili hakuna iliyoambulia ushindi jambo linaloongoza…

Read More

SITA WA SIMBA WAITWA TIMU ZA TAIFA

MASTAA sita wa Simba inayoongoza Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 wameitwa kwenye majukumu yao ya timu ya taifa kwa ajili ya kuwania kufuzu AFCON 2025. Ipo wazi kwamba Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kwenye mechi mbili za ligi ambazo ni dakika 180 imekomba jumla ya pointi sita na safu ya ushambuliaji imefunga…

Read More

MNYAMA ATAMBA KUMJUA NJE NDANI HOROYA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unawatambua kwa umakini wapinzani wao Horoya kutokana na kuwasoma kwa muda kwenye mechi zao pamoja na mbinu ambazo wanacheza. Simba leo Februari 11 ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi ikiwa kundi C na timu nyingine ni Vipers ya Uganda na Raja Casablanca ya Morocco….

Read More