
INONGA ASHUSHA MASHINE MPYA SIMBA,MASTAA YANGA WAAPA
Kazi kwisha, Inonga ashusha mashine mpya Simba, mastaa Yanga waapa kupeleka maafa ndani ya Championi Ijumaa
Kazi kwisha, Inonga ashusha mashine mpya Simba, mastaa Yanga waapa kupeleka maafa ndani ya Championi Ijumaa
BAADA ya msoto wa kuambulia sare kwenye mechi tatu mfululizo,wachezaji wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi wameweka wazi kwamba hawajapenda kupata sare. Yanga ilianza kuambulia sare mbele ya Simba ilikuwa Aprili 30 kisha ngoma ikawa Ruvu Shooting 0-0 Yanga na kigogo cha tatu ilikuwa ni Yanga 0-0 Tanzania Prisons. Aboutwalib Mshery,kipa…
MOSES Phiri nyota wa Simba amefunga bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Ulikuwa ni mchezo wa wazi kwa timu zote mbili kusaka ushindi ambapo kipindi cha kwanza Simba walimaliza mchezo kwa kupata bao la ushindi. Ilikuwa ni dakikaya 32 Phiri alipachika bao hilo na kuipa pointi tatu…
Robertinho aweka mtego mzito CAF, bahati yao ndani ya Championi Jumatatu
ANAANDIKA Saleh Jembe Ukimsikiliza kocha huyu wa Orlando Pirates, unaweza kusikitika sana na leo unaona ndiye amekuwa gumzo kwa kuwa sisi Watanzania ni wepesi kuamini ya kuambiwa kuliko tunayoona. Kawaida ya watu wa Afrika Kusini ni kulalamika kila jambo hata kama hawana uthibitisho. mfano, kocha huyu analalamikia VAR haikufanya kazi, tena anawalalamikia Simba na sisi…
WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…
KLABU ya Newcastle United wametuma maombi kwenda Arsenal ili kuipata saini ya mshambuliaji wa klabu hiyo, Pierre-Emerick Aubameyang, 32, katika dirisha hili. Mshambuliaji huyo ambaye huenda asionekane tena uwanjani akiwa na jezi ya Arsenal amekuwa hayupo kwenye kiwango bora tangu msimu huu uanze na katika siku za hivi karibuni amevuliwa unahodha kutokana na vitendo vyake…
MACHI 18 2025 kutakuwa na kazi kwa wababe wawili kwenye Kariakoo Dabi ya Wanawake Uwanja wa KMC, Complex kwa wababe wawili Simba Queens dhidi ya Yanga Yanga Princess kukutana uwanjani kwenye msako wa pointi tatu ndani ya dakika 90 za kazikazi. Ikumbukwe kwamba Simba Queens ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 34 baada ya…
Oktoba 14 siku ya kumbukizi ya Kifo cha aliyekuwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Kampuni ya Meridianbet wameweza kutoa Aprons zaidi ya 300 kwa wafanyabiashara hasa baba lishe na mama lishe katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar- es salaam ikiwemo maeneo ya Makumbusho, Magomeni pamoja na eneno la Muhimbili. Kama ilivyo kawaida ya…
YANGA bila Fei Toto kwa mifumo huu unapasuka, Saido aanza na rekodi kibao Simba, ndani ya Championi Jumamosi
MASHABIKI wa Simba wameweka wazi kwamba ushindi ambao wameupata wa mabao 7-0 dhidi ya Ruvu Shooting wanajua kwamba kuna maombolezo na wote wanaombeleza lakini kwenye mpira Simba wakiwa wanataka kitu lazima kikamilike hivyo wanaomba radhi kwa yaliyotokea. Ushindi wa mabao 7 Uwanja wa Mkapa unaifanya Simba kutinga hatua ya robo fainali inaungana na Yanga,Pamba,Polisi Tanzania,Azam…
AMEWAVAA Yanga bosi wa Simba ishu ya barua kuhusu bao ambalo lilifungwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini mtupiaji akiwa ni Aziz KI
MKALI wa kutupia kutoka Marumo Gallants ya Afrika Kusini, Ranga Chivaviro ametambulishwa rasmi na kuwa ni mchezaji halali wa klabu ya soka ya Kaizer Chiefs ya nchini humo. Mshambuliaji huyo kutoka Marumo Gallants iliyoshuka daraja msimu uliopita amesaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo kwa muda wa miaka miwili huku kukiwa na chaguo la kuongeza mwaka…