MASTAA YANGA WAFUNGUKIA KUTOPENDA SARE

BAADA ya msoto wa kuambulia sare kwenye mechi tatu mfululizo,wachezaji wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi wameweka wazi kwamba hawajapenda kupata sare. Yanga ilianza kuambulia sare mbele ya Simba ilikuwa Aprili 30 kisha ngoma ikawa Ruvu Shooting 0-0 Yanga na kigogo cha tatu ilikuwa ni Yanga 0-0 Tanzania Prisons. Aboutwalib Mshery,kipa…

Read More

SIMBA YASEPA NA POINTI MBELE YA NAMUNGO

MOSES Phiri nyota wa Simba amefunga bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Ulikuwa ni mchezo wa wazi kwa timu zote mbili kusaka ushindi ambapo kipindi cha kwanza Simba walimaliza mchezo kwa kupata bao la ushindi. Ilikuwa ni dakikaya 32 Phiri alipachika bao hilo na kuipa pointi tatu…

Read More

YANGA KAMILI GADO KUWAKABILI KAGERA SUGAR

WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…

Read More

AUBA AINGIA ANGA ZA NEWCASTLE UNITED

KLABU ya Newcastle United wametuma maombi kwenda Arsenal ili kuipata saini ya mshambuliaji wa klabu hiyo, Pierre-Emerick Aubameyang, 32, katika dirisha hili. Mshambuliaji huyo ambaye huenda asionekane tena uwanjani akiwa na jezi ya Arsenal amekuwa hayupo kwenye kiwango bora tangu msimu huu uanze na katika siku za hivi karibuni amevuliwa unahodha kutokana na vitendo vyake…

Read More

KARIAKOO DABI KITAWAKA LEO

MACHI 18 2025 kutakuwa na kazi kwa wababe wawili kwenye Kariakoo Dabi ya Wanawake Uwanja wa KMC, Complex kwa wababe wawili Simba Queens dhidi ya Yanga Yanga Princess kukutana uwanjani kwenye msako wa pointi tatu ndani ya dakika 90 za kazikazi. Ikumbukwe kwamba Simba Queens ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 34 baada ya…

Read More

VIDEO:TAMBO ZA MASHABIKI WA SIMBA,WAIOMBA RADHI RUVU SHOOTING

MASHABIKI wa Simba wameweka wazi kwamba ushindi ambao wameupata wa mabao 7-0 dhidi ya Ruvu Shooting wanajua kwamba kuna maombolezo na wote wanaombeleza lakini kwenye mpira Simba wakiwa wanataka kitu lazima kikamilike hivyo wanaomba radhi kwa yaliyotokea. Ushindi wa mabao 7 Uwanja wa Mkapa unaifanya Simba kutinga hatua ya robo fainali inaungana na Yanga,Pamba,Polisi Tanzania,Azam…

Read More

ALIYEKUWA ANAWINDWA NA YANGA HUYO KAIZER

MKALI wa kutupia kutoka Marumo Gallants ya Afrika Kusini, Ranga Chivaviro ametambulishwa rasmi na kuwa ni mchezaji halali wa klabu ya soka ya Kaizer Chiefs ya nchini humo. Mshambuliaji huyo kutoka Marumo Gallants iliyoshuka daraja msimu uliopita amesaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo kwa muda wa miaka miwili huku kukiwa na chaguo la kuongeza mwaka…

Read More