Unataka ODDS KUBWA? Njoo Mwananyamala Kuna Duka Jipya la Meridianbet Litakupa Ukitakacho

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, walisema sana mwisho wa siku vita vimewashinda jemedari mwenyewe wakali wa hizi kazi Meridianbet, walifika Duka la ubashiri la Mwananyamala kufanya uzinduzi wa duka hilo kwa kutoa huduma bora za ubashiri, kubwa Zaidi Odds kubwa kila mechi, machaguo Zaidi ya 1,000. Huu ni muendelezo wa uzinduzi wa maduka ya ubashiri ya…

Read More

TRY AGAIN: SIMBA HATUTAKUWA WANYONGE TENA, FURAHA INARUDI

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba, Salim Abdallah, ‘Tryagain’ amesema kuwa kwa namna ambavyo timu hiyo imejipanga hawatakuwa wanyonge tena bali furaha itakuwa ni mwendelezo. Hayo ameyasema leo kwenye mkutano wa Simba ambao una ajenda 13 ikiwa ni pamoja na ile ya uchaguz mkuu unaotarajiwa kufanyika leo Januari 29,2023. Kiongozi huyo amesema:-“Nawashukuru wanachama…

Read More

YANGA WANAPIGA HESABU ZA ROBO FAINALI

NYOTA wa Yanga Fiston Mayele ameweka waz kuwa watapambana kufanya vizuri kwenye mechi zijazo za kimataifa ili kufikia malengo yao. Timu hiyo Jumanne Februari 28 ilirejea Bongo ikitokea Mali ilipokuwa na mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Real Bamako. Kwenye mchezo huo ubao ulisoma Real Bamako 1-1 Yanga na kuwafanya wagawane pointi…

Read More

RAIS SENEGAL AWAPONGEZA SAKHO,MANE

 RAIS wa Senegal Macky Sall amempongeza mshambuliaji wa Simba raia wa Senegal Pape Ousmane Sakho kwa kutwaa tuzo ya bao bora la mashindano ya CAF.  Rais Sall amempongeza Sakho sambamba na wachezaji wengine wa Taifa hilo akiwemo mshambuliaji wa Klabu ya Bayern Munich ya nchini Ujerumani Sadio Mane, Golikipa wa Chelsea Edouard Mendy na mchezaji…

Read More

YANGA V GEITA KUKIWASHA KWA MKAPA

UWANJA wa Mkapa leo Aprili 10 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya Yanga dhidi ya Geita Gold. Huu ni mchezo wa hatua ya robo fainali na mshindi anatinga hatua ya nusu fainali ili kuweza kusaka timu itakayotinga hatua ya fainali. Bingwa mtetezi ni Simba akiwa naye yupo kwenye hatua ya robo fainali…

Read More

YANGA 0-1 SIMBA,UWANJA WA MKAPA

PAPE Sakho kiungo wa Simba amefunga bao la kuongoza kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii ambalo lilimshinda mlinda mlango namba moja wa Yanga Diarra Djigui. Bao hilo linawafanya Simba wanaonolewa na Zoran Maki waende mapumziko wakiongoza bao moja dhidi ya Yanga,Agosti 13,2022 ilikuwa dk ya 16.

Read More

MAXIMUM PAYOUT NDANI YA MERIDIANBET MAMBO NI MOTO

Meridianbet wanaendelea kuhakikisha mteja wao anafurahia huduma zao kwani kwasasa wamekujia na kitu kinaitwa Maximum payout, Ambapo wamepandisha kiwango cha kulipia tiketi moja na kufikia mpaka kiasi cha shilingi milioni 300. Kwa mfano leo kuna michezo tofauti tofauti itakayopigwa kwenye ligi kama Uingereza, Hispania, Italia, pamoja na ligi kuu ya Ufaransa ambapo unaweza kutumia huduma…

Read More

KOCHA YANGA AFICHUA SIRI HII YA 5G

KOCHA Mkuu wa Yanga Muargentina Miguel Gamondi amezipa tahadhari timu za Ligi Kuu Bara. Hiyo ni baada ya timu yake kuanza vema kwa kushinda mechi mbili mfululizo mabao 5-0 walipocheza dhidi ya KMC na JKT Tanzania. Yanga pia ilipata ushindi wa mabao 5-1 walipocheza dhidi ya ASAS FC ya nchini Djibouti katika Ligi ya Mabingwa…

Read More

SIMBA KUWAKOSA MASTAA HAWA DHIDI YA DODOMA JIJI

WAKATI wakiwa kwenye maandalizi ya mwisho kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa mzunguko wa pili kuna hatihati Simba ikakosa huduma ya beki wao wa kazi na kiungo namba moja kwenye kutengeneza mabao. Ni beki Che Malone huyu hayupo fiti alipata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Azam FC alipokwama kukomba dakika 90 wakati ubao…

Read More