YANGA KAMILI KUIVAA ZALAN FC KWA MKAPA

 CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Zalan FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, leo Septemba 10,2022. Yanga inaingia katika mashindano haya ikiwa na kumbukumbu ya kutolewa katika hatua ya awali michuano hiyo msimu uliopita wa 2021/22. Ni Klabu ya…

Read More

KOCHA ONGALA KAWAZIDI SIMBA NJE NDANI

MBINU za Kali Ongala muda wote zimekuwa ngumu dhidi ya Simba wanapokutana ndani ya dakika 90. Ongala dhidi ya Yanga alikwama kusepa na pointi mzunguko wa pili ila ule mzunguko wa kwanza walitoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2. Mbele ya Singida Big Stars ugenini walipoteza kwa kufungwa bao 1-0. Ni bao moja Simba wamefanikiwa kuifunga…

Read More

KIUNGO WA KAZI ANASEPA YANGA

INATAJWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga huenda akasepa baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho kwa kuwa amepata timu ambayo inahitaji huduma yake kutokana na uwezo alionao. Ni Aziz Ki ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi kwenye eneo la kiungo akiwa ni mkali kwenye mapigo…

Read More

MWAKA MPYA UMEANZA NA KIMBUNGA CHA ZAWADI KEM KEM JANUARI HII!

Mwaka mpya umeanza na Kimbunga cha zawadi kem kem Januari hii! Meridianbet Kasino itawafurahisha washindi 3 wenye bahati kwa kuwapatia zawadi mbalimbali, ni kwa kucheza michezo yeoyote ya kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbetkama vile Aviator, Titan Roulette, Titan Dice, Poker, God of Coins, Expanse Casino, Egyptian Buddha na mingine mingi. Mshindi wa Meridianbet Kasino Kujishindia…

Read More

HATARI YA MORRISON KIMATAIFA IPO HIVI

MTUKUTU Bernard Morrison mzee wa kuchetua kiungo mshambuliaji wa Simba ana wastani wa kuwa na hatari kila baada ya dakika 57 akiwa uwanjani kwenye mechi za kimataifa. Simba ikiwa imecheza mechi nneBM ametumia dakika 172 na ametupia mabao matatu katika mechi tatu ambazo amecheza. Alianza kuonyesha makeke mbele ya Red Arrows alitumia dakika 90 alitupia…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE TAMBO KAMA ZOTE

KUELEKEA Singida Big Day inayotarajiwa kufanyika Agosti 2, Uwanja wa Liti uongozi wa Singida Fountain Gate umetambia jambo lao kuwa litakuwa na upekee kwenye kila hatua. Ni burudani kwa mashabiki wa Singida Fountain Gate ambapo wanakwenda kutambulisha kikosi rasmi kwa msimu wa 2023/24 na benchi jipya la ufundi.  Ofisa Habari wa Singida Fountain Gate, Hussein…

Read More

MOROCCO YAUSHANGAZA ULIMWENGU

ULIMWENGU wa mpira umeshuhudia maajabu leo baada ya timu ya taifa ya Morocco kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya taifa ya Ubegiji. Ngoma ilikuwa nzito kuamini kwamba Morocco ingeibuka na ushindi kwenye mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa lakini maajabu ya mpira yamekamilika. Ni mabao ya Abdelhamid Sabri dakika ya…

Read More

CONTE:WACHEZAJI TULIOWASAJILI WAMETUVURUGA

KOCHA Antonio Conte amedai kuwa sera ya usajili ya Tottenham inadhoofisha kikosi, huku akiweka wazi kuwa wachezaji waliowasajili wakati wa dirisha la Januari wamekwenda kukivuruga zaidi kikosi chao badala ya kukiboresha. Muitaliano huyo amedai kuwa timu yake sasa ina nafasi ya asilimia moja tu kumaliza top 4 katika Premier, Tottenham Katika usajili wa Januari, Spurs…

Read More

SIMBA:HAPA KAZI TU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba wao kipaumbele chao namba moja ni kazi tu uwanjani ili kupata matokeo chanya na hawana muda wa kushindana na wale wanaoongeaongea. Mwenyekiti wa Simba, Murtaza Mangungu amesema kuwa wapo kwenye ligi kwa malengo makubwa ya kuweza kutetea ubingwa waliotwaa msimu uliopita na hilo linawezekana. “Sisi hapa kwetu ni kazi…

Read More

DOTTO SHABAN BEKI PRISONS ANAAMINI WATABAKI LIGI KUU

KWENYE upande wa ukuta taratibu Tanzania inazidi kuwa imara ambapo kwenye timu ya taifa uhakika uwepo wa Bakari Mwamnyeto,Shomari Kapombe na Mohamed Hussein huku ngoma nzito ikiwa upande wa washambuliaji. Wakati tatizo la ushambuliaji likitafutiwa tiba,kuna kijana mwingine wa kazi katika eneo la ulinzi anaitwa Dotto Shaban yupo zake ndani ya kikosi cha Tanzania Prisons….

Read More

NAMUNGO WAWEKA WAZI KWAMBA UBINGWA NI MALI YAO

KOCHA Msaidizi wa Namungo, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema wao ndio watakaokuwa mabingwa mwisho wa msimu hata kama watu hawawapi nafasi. Julio amesema, kila mechi ambayo wanakwenda kuicheza kwa sasa itakuwa ni kama fainali, kwa sababu wanahitaji kupata alama tatu ambazo zitawafanya wawe mabingwa mwisho wa msimu. Namungo wanakamata nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi,…

Read More

CLATOUS CHAMA MAMBO BADO YANGA

WAKATI mwamba Maxi Nzengeli akiwa chini ya uangalizi maalumu ndani ya Yanga bado kiungo Clatous Chama atakosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate. Chama hakuwa kwenye mechi iliyopita dhidi ya Dodoma Jiji wakati ubao wa Jamhuri, Dodoma ukisoma Dodoma Jiji 0-4 Yanga mabao mawili ya Clement Mzize, Prince Dube alitupia bao…

Read More

CHELSEA SAFARI IMEWAKUTA,BENZEMA TATIZO

REAL Madrid safari ya nusu fainali ya Champions League imejibu baada ya ushindi wa jumla ya mabao 5-4 dhidi ya Chelsea. Ni Karim Benzema ambaye alikuwa ni mwiba kwa Chelsea baada ya kupachika bao la ushindi kwa Real Madrid katika muda wa nyongeza. Ilikuwa ni Uwanja wa Santiago Bernabeu mbele ya mashabiki 59,839 ubao ulisoma…

Read More

SIMBA YATANGAZA KOCHA MPYA

RASMI Simba imetangaza kocha mpya wa makipa kwa ajili ya kuwa na timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba kocha huyo alikuwa ni shuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 alipokuwa ndani ya Azam FC. Pia alishuhudia Azam FC ikipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa fainali…

Read More