REAL MADRID YATWAA UBINGWA WA KOMBE LA MABARA

Klabu ya Real Madrid imetwaa ubingwa wa kombe la Mabara kufuatia ushindi wa 3-0 dhidi ya Pachuca Fc ya Mexico kwenye fainali iliyopigwa katika dimba la Lusail mjini Lusail, Qatar. Ushindi wa Real Madrid unamfanya kocha Carlo Ancelotti kuweka rekodi ya kuwa kocha mwenye Mataji mengi zaidi katika historia ya klabu hiyo akifikisha jumla ya…

Read More

MUTALE AWEKWA BENCHI, AHOUA NAYE

KIUNGO Joshua Mutale ameanza benchi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Wengine waliopo benchi ni Ally Salim, Hamza, Zimbwe Jr, Kagoma, Okejapha, Jean Ahoua, Mukwala, Mashaka na Alexander. Kikosi cha kwanza ni Camara, Kijili, Nouma, Chamou, Che Malone, Mzamiru Yassin akiwa na kitambaa cha unahodha….

Read More

DAKIKA 450 SIMBA IMEKIMBIZA, KAZI NYINGINE LEO

KATIKA mechi tano zilizopita ndani ya Ligi Kuu Bara Simba imefunga jumla ya mabao 10 kwa safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Leonel Ateba, Steven Mukwala wenye mabao mawilimawili, kinara kutoka Simba kwenye upande wa kutupia ni Jean Ahoua mwenye mabao matano na pasi nne za mabao. Timu hiyo imekuwa na mwendelezo mzuri ndani ya…

Read More

SIMBA KUBADILI MBINU MBELE YA KEN GOLD

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema kuwa kuelekea katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold watabadili mbinu kupata matokeo chanya. Simba itawakaribisha Ken Gold, Uwanja wa KMC Complex ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa kwaza unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Timu hiyo metoka kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

ADEMOLA LOOKMAN ASHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA SHIRIKISHO LA SOKA AFRIKA (BALLON D’OR)

Mshambuliaji wa klabu ya Atalanta ya Italia na timu ya taifa ya Nigeria, Ademola Lookman ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Shirikisho la soka Afrika (Ballon d’or) kwenye tuzo za CAF zilizofanyika Mjini Marrakesh , Morocco. Lookman (27) amewashinda Simon Adingra wa Ivory Coast, Serhou Guirassy wa Guinea, Achraf Hakimi wa Morocco na…

Read More

KIKOSI BORA CHA MWAKA CAF MWAKA 2024… ONANA WA MAN UTD NDANI

Kikosi bora cha Mwaka 2024 Afrika kwa Wanaume, Ronwen Williams ametemwa huku Andre Onana wa Manchester United akijumuishwa sambamba na Mohammed Kudus, Ademola Lookman na Mohammed Salah. KIKOSI BORA CHA MWAKA CAF 🇨🇲 André Onana 🇲🇦 Achraf Hakimi 🇸🇳 Kalidou Koulibaly 🇨🇩 Chancel Mbemba 🇲🇦 Sofyan Amrabat 🇨🇮 Franck Kessié 🇲🇱 Yves Bissouma 🇬🇭 Mohammed…

Read More