SITA WACHAGULIWA KAMATI YA MASHINDANO YANGA

 RAIS wa Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said ameteua Wajumbe wa Kamati ya Mashindano Yanga Injinia ameweza kuteua kamati hiyo kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji ili kuweza kuunda kamati hiyo maalumu.  Ni wajumbe 6 wametangazwa leo Agosti 10.2022 kuweza kuwa katika kamati hiyo kutimiza majukumu yao. Ni pamoja na Mustapha Himba,Lucas Mashauri,Seif Ahmed,(Magari),Pelegrius Rutayunga,Davis…

Read More

AZAM FC KUKWEA PIPA MPAKA MISRI

 JULAI 22,2022 kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kuondoka Dar na kuibukia nchini Misri kwa ajili ya kuweka kambi kwa maandalizi ya msimu wa 2022/23 watakaa huko hadi Agosti 12,2022 kwenye Mji wa El Gouna, Kwa Mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC,Zakaria Thabit amebainisha hayo kwa kuweka wazi kuwa hayo yametokea baada ya vikao kuweza…

Read More

CHEKA, ALKASASU KUPASUANA USIKU WA MISHINDO

MABONDIA wa ngumi za kulipwa nchini,  Muksini Swalehe ‘Alkasusu’ na Cosmas Cheka wanatarajia kupanda ulingoni  Desemba 3, mwaka huu katika pambano la usiku wa mishindo ambalo limepangwa kupigwa kwenye Uwanja wa Kinesi jijini Dar.   Pambano hilo limetambulishwa leo kwenye mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika  kwenye Hoteli ya Atriums ambalo litashirikisha mabondia wengi, limeandaliwa…

Read More

YANGA YAWATUNGUA WAJELAJELA 2-1

TANZANIA Prisons leo Desemba 19 imekwama kuivunja rekodi ya Yanga kucheza mechi tisa bila kufungwa baada ya kupoteza mchezo wa Ligi  Kuu Bara. Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Nelson Mandela umesoma Tanzania Prisons 1-2 Yanga. Bao la Samson Mbangula lilikuwa mapema kabisa dakika ya 9 kwa kichwa na liliweza kusawazishwa na Feisal…

Read More

NGOMA NZITO KWA SIMBA NA YANGA KIMATAIFA

NGOMA ni nzito kwa makocha wawili wa mitaa ya Kariakoo, Robeto Oliveira wa Simba na Nasreddine Nabi wa Yanga kwenye anga za kimataifa kutokana na kila mmoja kutusua na wachezaji wake kwenye anga la utupiaji. Ni wale wa Simba wanaongoza kumsimamisha Rob ambapo ni mara 9 alinyanyuka kwenye benchi kufurahia mabao yaliyozamishwa kimiani. Mwamba wa…

Read More

YANGA WASEPA NA UBINGWA WAO WA LIGI KUU BARA

YANGA wamesepa na ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 wakiwa na pointi 78. Mchezo wa mwisho kwa msimu huu wameshuhudia ubao wa Uwanja wa Sokoine ukisoma Tanzania Prisons 0-2 Yanga. Ni mabao ya Fiston Mayele wa Yanga dakika ya 33 alipachika bao hilo akitumia pasi ya Sure Boy na bao la pili ni…

Read More

Ingia Meridianbet Usuke Mkeka Wako Leo

  Kupiga maokoto ni rahisi sana endapo utabashiri na meridianbet leo hii, mechi zipo kibao sana kuanzia hizi za AFCON na zingine kibao. Ndoto yako inaweza kutimia leo hii ukituliza kichwa chako vizuri. Nigeria leo hii watakuwa wakimenyana dhidi ya Guinea Bissau huku timu zote zote zikihitaji ushindi wa maana ili kujiweka kwenye nafasi nzuri…

Read More

WACHEZAJI STARS WAPEWA PONGEZI USHINDI AFCON

BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa pongezi kubwa kwa ushindi wa mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 mbele ya Guinea wanastahili wachezaji kwa kuwa walicheza kwa kujituma na kufuata malekezo. Ni Septemba 10 2024 Stars ikiwa ugenini ilikomba pointi tatu mazima mbele ya Guinea wakipindua meza kibabe…

Read More

WATANO HAWA YANGA HATIHATI KIMATAIFA

MWAMBA Pacome Zouzoua anasumbuliwa na maumivu ya goti alipata maumivu mchezo wa Mzizima Dabi. Kuna hatihati kwa nyota hawa kuwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Khalid Aucho alikosekana Mzizima Dabi anasumbuliwa na goti, Zawadi Mauya naye hayupo fiti huku Attohoula Yao aliumia kwenye nyama…

Read More

VIDEO: JEMBE AMEZUNGUMZIA ISHU YA MAFANIKIO YA SIMBA NA KUACHWA BALEKE NA PHIRI

LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari wa habari katika masuala ya michezo Jembe ameweka wazi kuwa dunia inabadilika haraka sana huku mafanikio yakiwa kwenye sehemu tofautitofauti akibainisha kuhusu Kibegi kama kiliwasaidiai kuwaongezea kitu inawezekana kuwa sehemu ya mafanikio. Amebainisha kuwa ni muhimu wa kubadili mawazo kwa sasa kwa kuangalia kwamba kama ni waati uliopita…

Read More

KIMATAIFA: AL MERRIKH 0-0 YANGA

KAZI kubwa inafanywa na wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ni mchezo wenye ushindani mkubwa ikiwa ni kipindi cha kwanza na ubao unasoma Al-Merrikh SC 0-0 Yanga. Yanga ipo na kijiji kikubwa cha mashabiki nchini Rwanda ambao walitoka Dar na wapo wale wakazi wa Rwanda ambao…

Read More