
HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA BONGO
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi ambapo leo Novemba 30 kuna mechi za funga Novemba 2024 kwa wababe kuwa uwanjani kusaka ushindi. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic itakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya Namungo, mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa. Ni saa 12:30 jioni, Namungo wataikaribisha Yanga kwenye mchezo huo wa…