
SIMBA NAMBA MOJA KWA KUCHEKA NA NYAVU MPAKA LIGI
SIMBA ni timu ambayo imefunga mabao mengi ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kucheza jumla ya mechi 13 ndani ya NBC Premier League. Mabao 29 imefunga huku kinara wa utupiaji akiwa nj Jean Ahoua mwenye mabao sita kibindoni kwenye ligi. Ateba na Mukwala hawa wawili wametupia mabao mannemanne kila mmoja katika mabao hayo 29….