
SIMBA YATOA ZAWADI YA CHRISTMAS MAPEMA
SIMBA imeibuka na ushindi wa bao 1-0 JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wq KMC, Complex. Ni zawadi ya Christmas mapema leo Desemba 24 ambapo Wakristo duniani watakuwa kwenye ibada ya Usiku Mtakatifu na Christmas itakuwa Desemba 25, siku ya kufungua zawadi ni Desemba 26. Bao la ushindi limefungwa na Jean…