
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mchezo wa kesho dhidi ya Polisi Tanzania utakuwa mgumu na ushindani mkubwa. April 10,saa 10:00 jioni Simba itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Polisi Tanzania. Leo wachezaji wa Simba wamefanya mazoezi ya mwisho ikiwa ni pamoja na Aishi Manula, Joash Onyango, Sadio Kanoute, Rally…
UONGOZI wa kikosi cha Simba, umetamba kuwa walikuwa tayari wamejiandaa kukutana na mpinzani yeyote kwenye Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na wanaamini wana uwezo wa kuwaondoa Orlando Pirates ya Afrika Kusini na kutinga nusu fainali ya michuano hiyo. Katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika Simba wamefuzu hatua ya robo fainali baada ya…
KLABU ya Everton imefufua matumaini ya kuweza kuwa na nguvu ya kubaki ndani ya Ligi Kuu England baada ya ushindi mbele ya Manchester United. Ushindi ambao wamepata wa bao 1-0 Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa jioni ya leo una maana kubwa kwao kwa kuwa hawakuwa wanachohitaji zaidi ya pointi tatu. Bao…
BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ambao Yanga wameupata dhidi ya Azam FC Aprili 6, sasa kocha wa timu hiyo, Nassredine Nabi, anaamini wana asilimia 85 za kutwaa ubingwa msimu huu wa 2021/22. Lakini amewasisitiza wachezaji wake waendelee kupambana ili kuhakikisha wanakamilisha asilimia zote za ubingwa msimu huu. Yanga katika mchezo wa mzunguko wa pili…
UONGOZI wa Orlando Pirates, umewataja wachezaji kama Bernard Morrison na Pape Ousmane Sakho kuwa ni wachezaji wa kuchungwa katika mchezo wao kutokana na ubora wao waliouonyesha katika mchezo uliopita ambapo Simba waliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya USGN ya nchini Niger. Orlando Pirates ambao wamepangwa kucheza na Simba katika hatua ya robo fainali…
BEKI mkongwe wa Yanga, Mkongomani, Shaaban Djuma, amepewa majukumu mapya ya kupiga penalti zote itakazozipata timu hiyo inayowaniwa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Aprili 6,2022 Djuma alipiga penalti na kufunga bao la kwanza dhidi ya Azam katika ushindi wa 2-1, Chamazi. Hiyo ni penalti ya pili kwa beki huyo kuipiga katika msimu huu tangu ajiunge…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
MUSSA Mbissa kipa namba moja wa Coastal Union amesema kuwa walifanya makosa kwenye mchezo dhidi ya Simba jambo ambalo linawafanya waweze kujipanga kwenye mechi zijazo. Mbissa ameweka wazi kuwa alikuwa akitimiza majukumu yake bila kupoteza muda na akiweka wazi kwamba Meddie Kagere alitulia kwenye kufunga bao la ushindi Uwanja wa Mkwakwani.
AHMED Ally, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa kumzuia mtu ambaye ametoka kushinda mechi za CAF ni ngumu mno hivyo wapinzani wao Coastal Union wanastahili kupata pongezi kwa kile ambacho wamekifanya. Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani,Aprili 7,Tanga ubao ulisoma Coastal Union 1-2 Simba. Kuhusu mchezo wa Azam FC 1-2 Yanga ameweka wazi kuwa walikuwa…
SASA ni rasmi mchezo wa Simba v Orlando Pirates utakaochezwa Uwanja wa Mkapa lile jumba lote la burudani itakuwa ‘full house’ baada ya ruhusa kamili kutolewa. Taarifa rasmi iliyotolewa na Simba leo Aprili 8 imeeleza namna hii:”Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limekubali ombi letu la mashabiki 60,000 kuingia uwanjani kwenye mchezo wa robo fainali ya…
WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye mashindano ya kimataifa wanakwenda kuandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutumia mfumo wa msaada wa VAR kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Tokea VAR ianze kutumika katika mchezo wa soka duniani, haijawahi kutumika kwenye Uwanja wowote nchini na Simba iliyofikia hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho…
MBEYA Kwanza yenye maskani yake Mbeya kwa sasa sio ya kwanza kwa timu ambazo zina maskani yake kwenye mkoa huo wenye madhari ya kijani. Kwa sasa kwenye msimamo inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi 14 baada ya kucheza mechi 19. Safu ya ushambuliaji ya Mbeya Kwanza imetupia mabao 14 ikiwa imeshinda mechi 2 pekee za ligi….
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mpango kazi wao namba moja ni kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ulio mikononi mwa Simba. Kwenye msimamo, Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ni namba moja ikiwa na pointi 51 baada ya kucheza mechi 19 ndani ya Ligi Kuu Bara. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari…
HESABU za Simba baada ya kumaliza mchezo wao jana Aprili 7 mbele ya Coastal Union na ubao wa Uwanja wa Mkwakwani kusoma Coastal Union 1-2 Simba ni dhidi ya Polisi Tanzania. Simba ni mabingwa watetezi wakiwa nafasi ya pili na pointi 40 inakwenda kukutana na Polisi Tanzania Aprili 10,2022. Polisi Tanzania kwenye msimamo ipo nafasi…
NYOTA wa Klabu ya Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa wiki nne baada ya kupata majeraha ya goti wakati timu hiyo ilipokuwa inajiandaa kucheza na Klabu ya DTB mchezo wa kirafiki. Chilunda aliongozana na Daktari wa Timu Dkt Mwanandi Mwankemwa na kuibukia Cape Town, Afrika ya Kusini kwa ajili ya…
PAUL Merson kiungo wa zamani wa Arsenal amesema kuwa wapinzani wake wa zamani Tottenham Hotspur wana nafasi ya kumaliza ndani ya Top 4 kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Nyota huyo ameweka wazi kuwa ikiwa mshambuliaji wa timu hiyo Harry Kane akiumia mambo yatakuwa ni magumu zaidi kwao. Ikumbukwe kwamba hata Arsenal inawania nafasi ya…