
YANGA YAMPONZA PABLO SIMBA
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba anatajwa kuwa kwenye hesabu za kufutwa kazi kutokana na mwendo wa kusuasua wa timu hiyo. Habari zinaeleza kuwa kauli ya Rais wa Heshima wa Simba, Mohamed Dewji kwamba Simba wanapaswa kuchukua maamuzi magumu ni pamoja na kusafisha benchi la ufundi. Ikumbukwe kwamba baada ya Simba kufungwa bao 1-0 dhidi…