
JULIO:MAYELE NI POMBE,ATATUFUNGAJE SASA AKISHALEWA
IKIWA leo wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga v Namungo, Kocha Msaidizi wa Namungo, Jamhuri Kihwelo,’Julio’ amesema watapambana kufanya vizuri. Julio amebaainisha kwamba haoni sababu ya kuhofia mchezaji mmoja ama timu kiujumla kwa kuwa wamejipanga kufunga na kupata pointi tatu. Amemtaja Mayele kwamba hawezi kuwafunga leo kutokana…