
SIMBA YATAKA USHINDI WA MAPEMA,YATAJA WATAKAOMALIZA KAZI
KOCHA Mkuu wa Simba, Mhispania, Pablo Franco Martin anaamini mchezo wa marudiano dhidi ya Orlando Pirates utakuwa mgumu lakini ataingia uwanjani kwa mbinu tofauti ya kupata bao la mapema ndani ya dakika 10 hadi 15 za mwanzoni. Timu hizo zinatarajiwa kuvaana kesho Jumapili katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika…