MTIBWA SUGAR SIO KINYONGE YAFANYA KWELI

KUTOKA Morogoro, Mtibwa Sugar baada ya kucheza mechi 26 wamekusanya alama 20 msimu wa 2023/24 wakiwa nafasi ya 16. Zuber Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amebainisha kuwa watafanya kazi kubwa kwa ajili ya kupata matokeo kwenye mechi ambazo watacheza. “Tuna kazi kubwa kwenye mechi zetu ambazo tunacheza kikubwa ni kutumia nafasi ambazo tunapata na…

Read More

Playson na Meridianbet Wazindua Promo ya Mil 200/=

Kimbunga Hiadaya kilikuja na madhara makubwa sana katika maeneo ya ukanda wa pwani hususani Lindi, lakini Kimbunga cha Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kinakuja na Utajiri. Shinda Sehemu ya Kitita cha Tuzo chenye thamani hadi Shilingi Milioni mia moja na thelathini na tisa. Jisajili na Meridianbet kushiriki kwenye shindano la Short Races.   Meridianbet wamezindua safari…

Read More

EUROPA NA CONFERENCE KUTOA MKWANJA LEO

Leo hii una nafasi ya kupiga mkwanja wa maana ukibashiri mechi zako na meridianbet. Machaguo zaidi ya 1000 na ODDS KUBWA zipo hapa. Unasubiri nini ingia sasa kwenye akaunti yako na usuke jamvi hapa. Atalanta chini ya Gasperini dhidi ya Olympique Marseille ambapo mechi ya kwanza walitoshana nguvu hivyo leo ni kama wanaanza upya. Atalanta…

Read More

HIZI HAPA MECHI ZA LAKRED NDANI YA SIMBA

KIPA wa Simba, Ayoub Lakred rekodi zinaonyesha kwamba ni mechi 14 ameanza langoni msimu wa 2023/24 akiwa na uzi wa timu hiyo yenye maskani Msimbazi. Kwenye mechi hizo amekomba dakika 1,260 akitunguliwa kwenye mechi 7 na hakutungiliwa kwenye mechi 7 pia ikiwa ni nusunusu ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba kikosi cha Simba ndani ya…

Read More

MWAMBA AYOUB KWENYE RADA ZA YANGA

MKALI kutoka kwa matajiri wa Dar, Ayoub Lyanga anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa mitaa ya Jangwani, Yanga kwa ajili ya kupata changamoto mpya. Ipo wazi kuwa nyota huyo ambaye ameibukandani ya Azam FC akitokea Coastal Union alikuwa anapigiwa hesabu na mabosi hao kitambo. Ni Yanga na Simba walikuwa wanahitaji saini yake lakini Azam…

Read More

SIMBA YAZIPIGIA HESABU POINTI ZA AZAM FC

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Mei 9 2024 uongozi wa Simba umebainisha kwamba bado haujamaliza. Simba ipo chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda ina kazi yakusaka pointi tatu muhimu dhidi ya Azam FC ambao nao wanazihitaji pointi tatu pia. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa…

Read More

AZIZ KI AMECHANGANYA KINOMA

AZIZ KI kiungo mshambuliaji wa Yanga kahusika kwenye mabao 23 ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Wakati ubao wa Uwanja wa Azam Complex, Mei 8 2024 ukisoma Yanga 1-0 Kagera Sugar alitoa pasi moja ya bao. Ilikuwa ni dakika ya 83 pasi hiyo alitoa na kumpa mwamba Mudathir Yahya ambaye aliingia kwenye…

Read More

AZAM FC WANA BALAA HAO, SIMBA TATIZO

WAKATI ikiwa ni saa kadhaa zinahesabika kufika mchezo wa Mzizima Dabi, Uwanja w Mkapa, rekodi zinaonyesha kuwa Azam FC wana balaa kwenye eneo la ushambuliaji kutokana na kasi yao kuwa hivyo. Msimu wa 2023/24 haujawa bora kwa Simba katika eneo la ushambuliaji kutokana na aina ya washambuliaji waliopo kukosa nafasi wanazozipata kwenye mechi zao. Kinara…

Read More