
HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA JKT TANZANIA
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba wanatarajiwa kushuka Uwanja wa KMC, Complex kusaka pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania ambao nao wanazihitaji pia pointi hizo muhimu. Hiki hapa Kikosi cha Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kipo namna hii:- Moussa Camara, Shomari Kapombe, Valentino Nouma, Che Malone, Abdulazack Hamza, Fabrice Ngoma. Elie Mpanzu,…