
BAADA YA OKWA,SIMBA IMEKAMILIKA,YANGA YAPIGA TIZI LA KUFA MTU
BAADA ya kutua kwa Okwa,Simba SC imekamilika,Yanga yapiga tizi la kufa mtu ndani ya Championi Ijumaa
BAADA ya kutua kwa Okwa,Simba SC imekamilika,Yanga yapiga tizi la kufa mtu ndani ya Championi Ijumaa
BEKI bora wa muda wote eneo la kati ndani ya Simba,kwa muda ambao alikuwa hapo Pascal Wawa sasa atakuwa ni mali ya Singida Big Stars. Ikukumbwe kwama Wawa alikuwa ni chaguo la kwanza kwa makocha ambao wamepita Simba ikiwa ni zama za Masoud Djuma,Patrick Aussems,Didier Gomes na zama za kocha wa makombe Pablo Franco alianza…
KLABU ya Geita Gold imetangaza kumsajili mlinzi Shawn Oduro raia wa Ghana kwa mkataba wa miaka miwili na kufanya iwe imeshusha mashine mpya za kazi nne. Hizo ni jitihada za kukifanyia marekebisho kikosi hicho kwa ajili ya mikikimikiki ya ligi na mashindano ya CAF. Geita Gold inayonolewa na Kocha Mkuu,Felix Minziro itashiriki mashindano ya kimataifa…
MKAZI wa mkoa wa Mbeya, Ojilloh Gadson Mwaikimba ameshinda kiasi cha Sh 58, 650,180 baada ya kubashiri kwa usahihi matokea ya mechi 12 ya ligi mbalimbali duniani kupitia droo ya kampuni ya M-BET –Tanzania. Mwaikimba ambaye ni shabiki wa timu ya Manchester City amesema kuwa haikuwa rahisi kushinda fedha hizo kutokana na ugumu wa kubashiri…
MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) Almasi Kasongo Agosti 3, 2022 ametangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa 2022/2023 ambapo Klabu ya Yanga itafungua pazia lake la ligi hiyo kwa kuwa mgeni wa Polisi Tanzania. Kwa upande wa Klabu ya Simba wao wataanza na Geita Gold FC…
SIMBA haitanii yamshusha kiungo Mnigeria Dar,kutambulishwa kibosi,Aziz Ki,Mayele wkabidhiwa Simba SC ndani ya Spoti Xtra
KIUNGO wa Yanga,Bernard Morrison raia wa Ghana leo Agosti 4 inakuwa ni siku yake ya tatu ya mazoezi. Kwa sasa yupo kambini Avic Kigamboni chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi huku kocha wa viungo akiwa ni Helmy Gueldich ambaye. Kocha wa viungo amesema kuwa kabla ya kujiunga na timu kambini alikuwa amepewa mazoezi ya kufanya…
KIUNGO Mnigeria,Nelson Okwa aliyekuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Rivers United uhakika ni mali ya Simba hivyo atakuwa ni miongoni mwa wale ambao watanogesha Simba Day. Nyota huyo alikuwa kwenye mazungumzo ya mwisho na mabosi wa Simba ambao walikuwa wakihitaji kuweza kuinasa saini yake. Kiungo huyo ni raia wa Nigeria anakuwa mchezaji wa kwanza ndani…
MVP Yannick Bangala, baada ya kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo, inaelezwa kwamba thamani ya mkataba huo ni shilingi milioni 400. Bangala mkononi ana Tuzo ya Kiungo Bora wa Ligi Kuu Bara 2021/22, kiraka huyo yupo hapo mpaka 2024 baada ya ule wa awali kutarajiwa kuisha. Nyota huyo mwenye uwezo wa kucheza beki wa kati…
Meridianbet walipimana nguvu na kikosi cha timu ya wahamasishaji kilichoongozwa na Jemedari Said Kazumari, na Foby wikiendi iliyopita. Kabla ya mechi hii ya kirafiki, pande hizi mbili zilitambiana kuondoka na ushindi na maandalizi yalifanyika vyema kuhakikisha kila timu inajiweka kwenye nafasi ya ushindi. Mechi hii iliyobeba dhumuni kubwa la kuwaleta pamoja wahamasishaji na wafanyakazi wa…
KIPA wa mpira Mohamed Makaka atakuwa ndani ya Mtibwa Sugar kwa msimu wa 2022/23 baada ya kupata dili jipya kwa mabosi hao ambao makao yao makuu ni Morogoro. Alikuwa ni kipa namba moja ndani ya Ruvu Shooting ambapo alikuwa hapo msimu wa 2021/22. Unakuwa ni usajili wa tatu kwa Mtibwa Sugar kuweza kutambulisha baada ya…
ZORAN Maki,Kocha Mkuu wa Simba amekosa kuona ufundi wa majembe matano ya kikosi cha Simba kambini Misri kwa kuwa walikuwa kwenye majukumu ya timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars. Ni Kened Juma,Mzamiru Yassin,Kibu Dennis,Aishi Manula na Mohamed Hussein hawataibukia Misri kwa kuwa kikosi hicho kinatarajiwa kurejea kesho kuendelea na maandalizi kuelekea Simba Day,Agosti 8. Kipa…
INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Singida Big Stars,Hans Pluijm atatangazwa rasmi na benchi lake jipya Uwanja wa Liti Agosti 4 siku ya tamasha lililopewa jina la Big Day Habari zinaeleza kuwa Singida Big Stars imefikia hatua nzuri na Pluijm kuweza kurejea kwa mara nyingine tena kwenye ardhi ya Tanzania aliwahi kuifundisha Yanga,Azam FC na Singida…
MASHINE mbili za kazi ndani ya kikosi cha Yanga ni uhakika kuwa ndani ya kikosi hicho baada ya kuongeza madili mapya mpaka 2024. Ni Djuma Shaban mzee wa kumwaga maji na mchezaji bora wa msimu wa 2021/22 Yannick Bangala wote wawili raia wa DR Congo wameongeza kandarasi ya miaka miwili. Wawili hao walihusika kwenye mabao…
ZORAN aomba video za Mayele,straika wa kazi mlangoni Yanga ndani ya Championi Jumatano
TAMBO kwa sasa kwa zinazidi kutawala ambapo kila mmoja anaamini kwamba amefanya usajili mzuri na anaweza kuchukua kila kitu ambacho anakihitaji. Ipo hivyo na ni maisha ya mpira hakuna anayeweza kuzuia maneno ambayo yanatokea lakini ukweli unabaki ukweli kwamba mpira unahitaji vitendo zaidi. Yale maneno ambayo yamekuwa yakitolewa na mashabiki pamoja na viongozi yana muda…
SELEMAN Matola,Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa usajili ambao umefanywa kwa ajili ya maboresho ya kikosi hicho kunawafanya warudi msimu ujao wakiwa na kasi nyingine. Nyota sita wametambulishwa Simba ikiwa ni wazawa wawili ambao ni Habib Kyombo na Nassoro Kapama huku wageni ikiwa ni Moses Phiri, Mohamed Outtara,Victor Ackpan,Auhgustine Okra. Matola amesema kuwa kwa namna ambavyo…