Home Sports KIKOSI CHA STARS KITAKACHOANZA DHIDI YA UGANDA

KIKOSI CHA STARS KITAKACHOANZA DHIDI YA UGANDA

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya timu ya Taifa ya Uganda, leo Septemba 3 Uwanja wa St Marys, Kitende, Uganda.

Ikumbukwe kwamba mchezo wa leo ni wa mkondo wa pili kwa Stars ikiwa inakumbuka ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 Uwanja wa Mkapa hivyo leo ina kibarua cha kupindua meza ili kusonga mbele CHAN.

Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza namna hii:-

Aishi Manula

Mohamed Zimbwe

Kibwana Shomari

Dickson Job

Bakari Nondo

Jonas Mkude

Mzamiru Yassin

Feitoto

Sopu

John Bocco

 Daniel Lyanga

Previous articleSIMBA YAPOTEZA MCHEZO WA KIMATAIFA
Next articleTAIFA STARS YAFUNGASHIWA VIRAGO CHAN